Lockdown Kenya-Uhuru Kenya afunga Vyuo na Shule huku akifunga njia za wanafunzi kurejea makwao

Lockdown Kenya-Uhuru Kenya afunga Vyuo na Shule huku akifunga njia za wanafunzi kurejea makwao

wale wote wametangulia mbele za haki,ila kutaka kudai ni corona kwa uongo wa wajinga wengine huku tz ni umasikini wa kufikiri.

corona ingefika pale juu hamna mtu angekuwa anazurula bila baracoa hap tz,sisi hatubahatishi mambo kama hapo failed state.
wametangulia mbele za haki, ndio, naona akili zako zinaanza kurudi sasa.
bado huwezi stuka tu na kujiuliza how comes, imekuaje na ni kivipi jamaa wanadondoka kwa style ambayo sio ya kawaida?
wewe huna akili kabisa, ubongo wako umejaa ubwabwa hadi unashindwa kufikiri
 
wametangulia mbele za haki, ndio, naona akili zako zinaanza kurudi sasa.
bado huwezi stuka tu na kujiuliza how comes, imekuaje na ni kivipi jamaa wanadondoka kwa style ambayo sio ya kawaida?
wewe huna akili kabisa, ubongo wako umejaa ubwabwa hadi unashindwa kufikiri

weee m.du kweli.

kwahiyo watu hawatakiwi kufariki kwa ugonjwa mwingine!!!huku maisha yanaendelea kima wewe.
 
Wewe una uhakika gani haswa kafa na Corona? Au hisia zako wewe na utakavyo? .. magonjwa mengine yamepotea baada ya Corona ama?
Huyo mla miraa asikupotezee muda wako.

Angalia hii picha kisha utagundua ni wapumbavu aina gani unabishana nao humu.
IMG_20210327_180603_355.JPG
 
weee m.du kweli.

kwahiyo watu hawatakiwi kufariki kwa ugonjwa mwingine!!!huku maisha yanaendelea kima wewe.
wewe kenge natamani hayo mambo yaje yakukute uweze kuchungulia kule maskan kisha urudi hapa kutuletea ushuhuda.
makamu wa rais wa zenj pia hakuamini hivo hivo mpaka yalipomkuta. alipiga yowe hadi dunia nzima ikaskia.
nikifikiria starring wako alivyofichwafichwa kuzuiwa aibu, naona kama nchi nzima imejaa mamburula kupitiliza
 
wewe kenge natamani hayo mambo yaje yakukute uweze kuchungulia kule maskan kisha urudi hapa kutuletea ushuhuda.
makamu wa rais wa zenj pia hakuamini hivo hivo mpaka yalipomkuta. alipiga yowe hadi dunia nzima ikaskia.
nikifikiria starring wako alivyofichwafichwa kuzuiwa aibu, naona kama nchi nzima imejaa mamburula kupitiliza

kama rais wenu anavyopiga yowe dunia imsaidie kupambana na wakenya kwenye lockdown.
 
H
Jombaa, acha kujiaibisha kuna exemptions k.m. kwa wahudumu wa afya, polisi, trucks za long distance n.k, sasa itakuwaje wanafunzi wakatazwe kuenda makwao wakati tayari shule zimefungwa? Upo excited kuhusu nini haswa? Naona hamjajifunza hata baada ya msiba wenu wa hivi majuzi ambao ulisababishwa na hivi hivi virusi vya COVID-19. Ukimaliza kuwabeza wakenya nenda ukapige nyungu, wadosi wako wapo safarini wakifata ventilator nchini Kenya.
Sio Covid mzee ni mfumo wa umeme katika moyo rekebisha hilo neno.
 
kila mtu atakufa dunia hii lakini inategemea utakufa kwa style gani.
sio kuja kufa kizembe namna starring wako alivyochotwa
Buda, cheza chini man unachoma vibyad..
Wapeleke na rieng ya chini chini hizi za kibazenga chorea tu kw sasa
 
Back
Top Bottom