Lockdown Kenya-Uhuru Kenya afunga Vyuo na Shule huku akifunga njia za wanafunzi kurejea makwao

wale wote wametangulia mbele za haki,ila kutaka kudai ni corona kwa uongo wa wajinga wengine huku tz ni umasikini wa kufikiri.

corona ingefika pale juu hamna mtu angekuwa anazurula bila baracoa hap tz,sisi hatubahatishi mambo kama hapo failed state.
wametangulia mbele za haki, ndio, naona akili zako zinaanza kurudi sasa.
bado huwezi stuka tu na kujiuliza how comes, imekuaje na ni kivipi jamaa wanadondoka kwa style ambayo sio ya kawaida?
wewe huna akili kabisa, ubongo wako umejaa ubwabwa hadi unashindwa kufikiri
 

weee m.du kweli.

kwahiyo watu hawatakiwi kufariki kwa ugonjwa mwingine!!!huku maisha yanaendelea kima wewe.
 
weee m.du kweli.

kwahiyo watu hawatakiwi kufariki kwa ugonjwa mwingine!!!huku maisha yanaendelea kima wewe.
wewe kenge natamani hayo mambo yaje yakukute uweze kuchungulia kule maskan kisha urudi hapa kutuletea ushuhuda.
makamu wa rais wa zenj pia hakuamini hivo hivo mpaka yalipomkuta. alipiga yowe hadi dunia nzima ikaskia.
nikifikiria starring wako alivyofichwafichwa kuzuiwa aibu, naona kama nchi nzima imejaa mamburula kupitiliza
 

kama rais wenu anavyopiga yowe dunia imsaidie kupambana na wakenya kwenye lockdown.
 
H
Sio Covid mzee ni mfumo wa umeme katika moyo rekebisha hilo neno.
 
kila mtu atakufa dunia hii lakini inategemea utakufa kwa style gani.
sio kuja kufa kizembe namna starring wako alivyochotwa
Buda, cheza chini man unachoma vibyad..
Wapeleke na rieng ya chini chini hizi za kibazenga chorea tu kw sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…