Logo ya Dume Condoms, kuna nini kimesimama juu ya herufi M. Ni sawa na maadili ya kitanzania kweli?

tupunguze kuwa makompliketa hyo logo ni ya kawaida tu
 
Wengi ukiwauliza watakwambia ni mapembe, lakini ukweli ni kichwa cha Dhakari
 
Hapo walichokosea ni uchoraji tu, kwa kuwa hiyo ni kondomu ya kiume ilibidi waonyeshe picha na saizi za midushe yote hata na ile yetu ya kupinda kidizaini ili tujuwe kondomu ipi inatufaa wanunuzi.
 
Mi naona kama Uke na uume , ila mpaka uwe unajua tafsiri ya ligha za picha.

Lakini sitarajii waweke picha ya chokolate wakati kazi ya hiyo kitu ni kupeana raha kwenye viungo vya uzazi
 
Nieleze maadili ya kitanzania ndo yapi/ yakoje?
 
Ujinga huu hata wakichora ku..m..a na m.b.o.o, kwani kazi ya condom ni nini?
 
Hio ni dushe imepenya kwenye lile tundu pendwa. Tundu utyundu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…