Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Broo,.endelea kuchapiwa manzi ako na wewe endeleza uzinzi,..watu tupo tunaenjooooyyy za kwetu pekeetu hata mafua hatupati..Usiusemee moyo wa mwenzio. Km ww haucheat mwenzio ana cheat.
Ss wanaume ndiyo wachepukaje wakubwa. Unaweza kumpigia simu wife, upo nje, ndani kuna mwanamke. Baada ya kumaliza kuongea na simu. Unaenda kuipiga K. Endelea kujisifu
Ugonjwa mkubwa wa mwanaume awe na hela tu. Unaamka asubuhi unaenda kufanya kazi, unarudi jioni, salio linasoma. Usipokuwa na mwanamke, inabidi ukapimwe akili. Utakuwa kichaa