Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuliko nini.....?Bora apige nyeto kuliko
Hawezi huyu namjuaga yaan hiyo wiki tu inamshinda kuna kipindi nilienda nyumbani mkoani kisalimia nilikaa wiki 3 aliongea maneno kibao, malalamiko kg10. Mwisho akaniambia nashindwa rudi na machozi juu. Nilivyorudi sasa mbona nilikomaAnaweza bhanaa,sema hajaamua tuu[emoji1]
Atakuwa ni mngoni...wangoni wa kike au wa kiume ni noma sanaHawezi huyu namjuaga yaan hiyo wiki tu inamshinda kuna kipindi nilienda nyumbani mkoani kisalimia nilikaa wiki 3 aliongea maneno kibao, malalamiko kg10. Mwisho akaniambia nashindwa rudi na machozi juu. Nilivyorudi sasa mbona nilikoma
Ikawa mchakamchaka,.woiiii🙌Hawezi huyu namjuaga yaan hiyo wiki tu inamshinda kuna kipindi nilienda nyumbani mkoani kisalimia nilikaa wiki 3 aliongea maneno kibao, malalamiko kg10. Mwisho akaniambia nashindwa rudi na machozi juu. Nilivyorudi sasa mbona nilikoma
Mkuu kama ni Paulina basi tunakula wote huyoMama p wangu nipo nae hapa hapa
Mbona mnalala nao na kuamka nao na bado wanachepuka pia.Wakuu
Huwa nawashangaa sana watu eti ana mchumba yupo mwanza kikazi na yeye yupo Dodoma kikazi ...halafu wanadai eti wanaaminiana ..!
Kiuhalisia wote wawili ni wachepukaji wazuri sanaa ila ukiwakuta wanaongea kwenye simu sasa "ooh nimekumisi hadi naumwa".. Huo uongo hata shetani anashangaa.
Kijana gani au binadamu gani avumilie genye kwa miezi kama sio mwaka? Tena kijana wa 20's to 30's?
Tuache huu ujinga wa kulea penzi kwa simu kwani ndio hayo mambo ya case study zinajirudia na magonjwa ..
Usiposkia shauri yako
Umezungumza jambo muhimu sānja hapa,Long distance relationships ni kwa watu wakomavu kifikra na wenye nidhamu binafsi ya hali ya juu.Sio kwa kuwa haifanyi kazi kwa wengi,basi haifanyi kwa wote,hapana.
Kukosea kupo,kama ilivyo kwenye mahusiano ya kawaida,lakini nidhamu na ukomavu kifikra husaidia wenza kutotoka kwenye lengo lao kuu.
Wakuu
Huwa nawashangaa sana watu eti ana mchumba yupo mwanza kikazi na yeye yupo Dodoma kikazi ...halafu wanadai eti wanaaminiana ..!
Kiuhalisia wote wawili ni wachepukaji wazuri sanaa ila ukiwakuta wanaongea kwenye simu sasa "ooh nimekumisi hadi naumwa".. Huo uongo hata shetani anashangaa.
Kijana gani au binadamu gani avumilie genye kwa miezi kama sio mwaka? Tena kijana wa 20's to 30's?
Tuache huu ujinga wa kulea penzi kwa simu kwani ndio hayo mambo ya case study zinajirudia na magonjwa ..
Usiposkia shauri yako
Nani! wewe huyu?Kweli kabisaa,. Mimi na "my wangu" miezi mi5 tuko mbalimbalisasa,lakini hata kuwaza kumsaliti sijawahi...lol and likewise..tunatunziana wenyewe😋
Ile falsafa ya "The more distance from sight equals the more distance from heart!"@Carlos The Jackal unamzungumziaje huyu???[emoji28]
Au ndo hajakutana na bahalia[emoji23]