Long distance ni mapenzi ya uongo vijana acheni ujinga

Broo,.endelea kuchapiwa manzi ako na wewe endeleza uzinzi,..watu tupo tunaenjooooyyy za kwetu pekeetu hata mafua hatupati..
 
Mimi nilishawahi kumwambia shemeji yenu akikubali kazi flani ambayo itamfanya tuishi mbalimbali nitamsaliti. Nilimwambia hivyo kusudi maana namjua hawezi kukaa miezi 3 bila kula mambo.
 
Ulitaka wajifarijije endapo uhamisho unagomewa na uvccm ,sasa hakuna lugha nyingine zaidi ya lugha ya kufarijiana
 
@Carlos The Jackal unamzungumziaje huyu???[emoji28]


Au ndo hajakutana na bahalia[emoji23]
 
Tulia wewe,watu tuko mbali na tunavumilia uongo

Ila uongo mtamu jamani hata ukiwa karibu huwezi kupata baadhi ya vitu
 
Sijui umeelewa nlichoandika mkuu🤔🤔.
Huo uselective unaousema wewe ndo unaweza kukubeba kama mpo mbali kwa maana kua unaempa raha ni wewe sio mwingine umepata hapo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…