Long distance ni mapenzi ya uongo vijana acheni ujinga

Anaweza bhanaa,sema hajaamua tuu[emoji1]
Hawezi huyu namjuaga yaan hiyo wiki tu inamshinda kuna kipindi nilienda nyumbani mkoani kisalimia nilikaa wiki 3 aliongea maneno kibao, malalamiko kg10. Mwisho akaniambia nashindwa rudi na machozi juu. Nilivyorudi sasa mbona nilikoma
 
Hawezi huyu namjuaga yaan hiyo wiki tu inamshinda kuna kipindi nilienda nyumbani mkoani kisalimia nilikaa wiki 3 aliongea maneno kibao, malalamiko kg10. Mwisho akaniambia nashindwa rudi na machozi juu. Nilivyorudi sasa mbona nilikoma
Atakuwa ni mngoni...wangoni wa kike au wa kiume ni noma sana
 
Hawezi huyu namjuaga yaan hiyo wiki tu inamshinda kuna kipindi nilienda nyumbani mkoani kisalimia nilikaa wiki 3 aliongea maneno kibao, malalamiko kg10. Mwisho akaniambia nashindwa rudi na machozi juu. Nilivyorudi sasa mbona nilikoma
Ikawa mchakamchaka,.woiiii🙌
 
Kuchapiwa unachapiwa tu haijalishi....kikubwa usijue ..awe mbali au awe karibu bor usijue na muwe salama..vitu vingine vigumu kuvi handle na ukivifatilia ndo unasababisha kupoteza vingine zaidi...so cha msing trust yourself no body is trustfull.....
 
Mbona mnalala nao na kuamka nao na bado wanachepuka pia.
 
Umezungumza jambo muhimu sānja hapa,
 
Kwahiyo waache kazi ili tu watiane daily!???
 
@Carlos The Jackal unamzungumziaje huyu???[emoji28]


Au ndo hajakutana na bahalia[emoji23]
Ile falsafa ya "The more distance from sight equals the more distance from heart!"

This is why people cheat. Mke ni One to Many function. Wanaume wawili au zaidi wanaweza kumtia miti at different sessions. Hamna haja ya kujipa false hopes tu amini lolote linaweza tokea mkiwa apart.

We are social fathers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…