Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,622
- 4,100
Acha ujinga mtoto wa miaka saba hadi kumi na sita anapaswa kuwa angalau na elimu ya kidato cha nne ,unakusanya vitoto miaka saba ,nane unavifundisha ujinga serikali itazame tu.Karate ina shida gani! Na hizo imani au sijui siasa kali ndiyo zipi? Nchi ina udini hii watangaze tu kama nchi ni ya kikristo kama Zambia kuliko kuwafanyia visa Waislamu kila siku halafu nawashangaa sana viongozi waislamu wanavyokaa kimya kama mazuzu!