Lori lililobeba mafuta limepinduka Kibaha, wananchi wachota mafuta bila woga

Lori lililobeba mafuta limepinduka Kibaha, wananchi wachota mafuta bila woga

DALALI MKUU

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2022
Posts
2,011
Reaction score
4,705
Lori lililobeba mafuta limepinduka katika eneo la Misugusu, Kibaha mkoani Pwani, ambapo kundi kubwa la wananchi wamejitokeza kuchota mafuta, ambayo yanamwagika, licha ya Askari kuwazuia lakini wameendelea kuchota mafuta hayo.


=====

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo amesema:

Chanzo cha ajali ni Lori kuacha njia na kuanguka maeneo ya Misugusugu, baada ya ajali hiyo Wananchi walijitokeza na kuanza kuchota mafuta jambo ambalo ni la hatari.

Tayari Jeshi la Polisi limefanikiwa kuwadhibiti watu wote waliokuwa wamejitokeza kuchota mafuta, pia hakuna madhara yoyote kwa binadamu kwa maana ya Dereva, Wapita njia na watu wengine wote waliokuwa eneo la tukio.
 
Wamesahau hi
 

Attachments

  • images (12).jpeg
    images (12).jpeg
    55.6 KB · Views: 4
Lori lililobeba mafuta limepinduka katika eneo la Misugusu, Kibaha mkoani Pwani, ambapo kundi kubwa la wananchi wamejitokeza kuchota mafuta, ambayo yanamwagika, licha ya Askari kuwazuia lakini wameendelea kuchota mafuta hayo.

View attachment 2963351

source ITV TANZANIA.
Watu kama wapo kisimani vile ilihali kuna cheche za hatari asee
 
Back
Top Bottom