Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani... Umenigutusha Mkuu wangu. Dah. Shida haina adabu ila moto nao ni Kimbembe kingine. Pole kwa hiyo trauma.Yaani naomba yasitokee kama yale wakati ule likawapitia na mama ntilie waliokuwa wamekaa zao
Kuna watu walimeza ule mvuke walipowaka moto moto ulikuwa unatoka puani na mdomoni kama Dragon nilishangaa sana ila walikufa kwa maumivu makali sana
Ila yote hayo wanayaona kwa wenzao na bado wanaenda kurudia makosaJamani... Umenigutusha Mkuu wangu. Dah. Shida haina adabu ila moto nao ni Kimbembe kingine. Pole kwa hiyo trauma.
Kibaha secondary schoolsUmaskini ni kitu kibaha sana
Mama anaupiga mwingi mpaka nabubujikwa na machoziTunamshukuru sana Mhe. Rais kwa kumwezesha hili lori kudondoka hapa, hakika tumejichotea mafuta salama kabisa.
Siyo umasikini, ni ujinga.Halafu baadae tuanze kutenga siku ya kuomboleza..
But umasikini mbaya sana
Chanzo cha ajali ni Lori kuacha njia na kuanguka maeneo ya Misugusugu, baada ya ajali hiyo Wananchi walijitokeza na kuanza kuchota mafuta jambo ambalo ni la hatari.
in the name of Lucas MwashambaMama anaupiga mwingi mpaka nabubujikwa na machozi
Unakuwa ushazoea moto, huungui sana.Unakufa kwa moto ukiwa unaiba mafuta, na mbinguni ukienda unakutana na moto.
Na mwenzake Mbaga Jrin the name of Lucas Mwashamba