Lori lililobeba mafuta limepinduka Kibaha, wananchi wachota mafuta bila woga

Labda ni diesel

Hawafikirii mbali anaweza kujitokeza mjinga mmoja amechoka kuishi akafanya yake
 

TATIZO NI UMASIKINI..
MTU MASIKINI HAONI DHAMANI YA MAISHA
HIVYO PAMOJA NA JITIHADA ZA KUELIMISHANA, TUENDELEE NA JITIHADA ZA KUPUNGUZA UMASIKINI AMBAPO ITAKUWA RAHISI KAMA WAFANYAKAZI WA UMMA WATAISHI KWA VIPATO VYAO HALALI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…