Hiyo ni kawaida Dunia nzima, tofauti ni kwamba Nchi tajiri hutumia teknolojia, lkn huwezi kutembea zaidi ya km 10 hata Ulaya/USA/Japan bila kamera ya kucontrol mwendo wa magari, sasa Tanzania hakuna kamera kuna Polisi, ni kawaida Dunia mzima ni hivyo!
Kama ni kweli basi tatizo liko kwa watawala tuwaondoe wao chanzo cha matatizo badala ya kuacha trafic wasumbue watu na njaa njaa zaoHutujui wabongo sio? Wabongo hatuendi bila fimbo waafrika kwa ujumla esp watanganyika.
Ustaarabu, utaratibu, kufuata sheria bila shurti sio utamaduni wetu ipo wazi wala tusiume maneno.
Hii ishu ita-backfire tu huwezi mpa mbongo uhuru asikufurahishe.
Hutujui wabongo sio? Wabongo hatuendi bila fimbo waafrika kwa ujumla esp watanganyika.
Ustaarabu, utaratibu, kufuata sheria bila shurti sio utamaduni wetu ipo wazi wala tusiume maneno.
Hii ishu ita-backfire tu huwezi mpa mbongo uhuru asikufurahishe.
Naunga mkono hoja wapunguzwe,mf ukiingia mkoa wa Pwani Barabara ya Morogoro,kila baada ya km 3 kuanzia Mlandizi to Mailimoja kuna kundi la Traffic Police,yani hadi kero...Kwahiyo hao trafiki wanazuia ajali?
Kinana ameshauri wapunguzwe sio waondolewe, logic ni kwamba wako wengi sana inafika hatua wanasimamisha magali unnecessarily yaani ilimradi usumbufu tu.
Inapelekea watu wapate usumbufu na kuchelewa kwenye shughuli zao.
Kwa wenzetu pia hali iko ivo?
Nijibu we koplo mwenye low IQ
Hizo speed radars utageuzwa mradi wa watu. Dawa ni kujenga njia kama ile ya Kimara- Kibaha tu!Polisi hawana msaada, ziwekwe speed radars, camera hii itasaidia sana maana watu watafata sheria, faini kwa speeding iwe kubwa hata 100,000 na hapo utaletewa tu taarifa yenye control number ambapo utapewa siku za kulipa.
Speed radars auto ni ngumu kwa mtu kuanza lia apunguziwe
Hizo speed radars utageuzwa mradi wa watu. Dawa ni kujenga njia kama ile ya Kimara- Kibaha tu!
Waweke na separator katikati kama walivyowekAga mapipa yale
Hili linafikirisha mno kipindi cha Late Benjamin W. Mkapa wakati njia ni hafifu watu walikuwa wanaenda within 2.5hrs hadi 3hrs at maximum mtu yuko Morogoro mjini.Hata mimi nimeshangaa misinterpretation ya Mr High IQ. Kinana hakusema kuwa polisi wote waondolewe barabarani ila wapunguzwe tu. Kwa kweli imekuwa toooooo much!
Inakuwaje safari ya kutoka Dar mpaka Morogoro inachukuwa masaa matano kwa kilomita 192?
Mkuu niamini hao hao Trafic watazing'oa na kusingizia wezi kwani camera si waliwahi wekaga njia ya Morogoro road hio wahuni wakapita nazo.Unatoa traffic wote ndo unaanza kujenga au unajenga kwanza afu unatoa traffic?
Hii ni kweli. Sasa katika miundombinu kama hii kukimbia km80/100 kwenda mbele ni hatari sana.Kwenye ubora wa magari na matairi, magari mengi yamezingatia...
Tatizo ni miundo mbinu, barabara zinaviraka sana, nyingine unakuta zimetobolewa tayari
Mob psychology ndio inazingua sanaUshauri wa Kinana ni sahihi 100%. Hapo ni suala la wahusika kuitafuta njia nzuri kuhakikisha sheria na taratibu zinazingatiwa. Wanaweza hata kuboresha doria na kuweka mifumo mikubwa zaidi ya Kuchunguza , vilevile kuweka sheria Kali zaidi za makosa ya barabarani KAMA INAVYOFANYIKA NCHI ZA ULAYA.
KUNA NCHI ULAYA UNACHANGANYIKIWA UNAPOKUTWA NA TRAFFIC OFFENCE.
Nchi nyingi huwezi kuta kila km 1 eti unasimamishwa, huwezi kuta utitiri wa traffic kama hapo Bongo.
Pia tatizo la Tz yaani ni watu wanaopinga na kukosoa kila Idea Mpya hata kama ina tija, yaani kuwaondoa kwenye maisha waliyoyazoea ni shida sana (rigidity).
Nakumbuka suala maoni ya kuanzishwa vyama vingi, asilimia kubwa walikataa, Katiba mpya wengi wanahoji yanini wakati ipo hii, kuwatoa Machinga barabarani watu wanaona sio sawa kabisa, sasa ushauri wa Kinana nao umeshatafsiria kuwa nongwa.
Timu ya Yanga ibadilishwe mfumo wa kiuendeshaji ikaonekana hapana kabisa eti watuache na timu yetu hii tumeanza nayo kabla hata ya vita vya pili vya dunia.
Hata yeye mwenyewe, msafara wake usipoongozwa na askari, na wengine kufunga njia ili apite, hawezi kutoboa, kiongozi kama huyu ana walakini kwenye ishu ya uadilifuKila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.
Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?
90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.
Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Wahalifu hamjifichiKwahiyo hao trafiki wanazuia ajali?
Kinana ameshauri wapunguzwe sio waondolewe, logic ni kwamba wako wengi sana inafika hatua wanasimamisha magali unnecessarily yaani ilimradi usumbufu tu.
Inapelekea watu wapate usumbufu na kuchelewa kwenye shughuli zao.
Kwa wenzetu pia hali iko ivo?
Nijibu we koplo mwenye low IQ
Hapa kwetu kuna chawa kazi yao nikupotosha kutukana watu na kutetea serekaliAjali highwaY zitengwe wa kwenda na wa kurudi lanes zao tofauti. Uone kama ajali hazitapungua kwa 90%. Nature ya ajaĺi zeTU ni head on head collision.
Wewe high QKila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.
Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?
90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.
Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Hebu waondoeni basi wote kwa masaa 2 tu uone kama patakuwaje barabarani.Ukweli usemwe mtoa mada dishi limeyumba
trafki hawazuii ajali madereva ndio wanazuia
Ahaaa!! Wanyama waleee!! Zile bidhaa zao, maskini wanyama wale!!Kinana anataka urais wa kupitisha yale mambo yake
Low IQ !!!Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.
Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?
90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.
Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Teknolojia inaongezeka efficiency na kupunguza gharama wewe unaweka askari 6 kwa ajiri ya tochi moja?Kuweka kamera kila mahali ni gharama na hawawezi kumudu na ndiyo maana badala yake Polisi wanakaa barabarani, nchi nyingine hauoni Polisi kwa maana wana teknolojia lkn hata hizo nchi kabla ya kutajirika ziliweka polisi barabarani pia!
Kwa nn utoe rushwa kama huna kosa??Hapana hauko sahihi!
Polisi wamefanya barabarani sehemu ya kukusanyia fedha(rushwa)!
Huwezi kuweka Trafiki polisi kila baada mita 200, eti unazuia ajali.
Kuna siku nimetoka Dar saa sita mchana nikafika Morogoro jioni saa 11 mpaka nikajiuliza hivi Askari wote wahamishiwa barabarani?
Na Askari wengi ni wajinga hawa sense yoyote kwa wanakwamisha shughuli za kiuchumi kwa kaguzi zao za kila baada ya mita 200.
LAZIMA WADHIBITIWE!!
Teknolojia wataihujumu tu sababu wanataka wasimame wao wachukue buku buku zetu.Traffic wanahaha hivi sasamaji shingoni
Tuwekeze kwenye teknolojia siyo watu kuacha kulinda raia na mali zao