Elections 2015 Lowassa afunika Dakawa, ni akiwa njiani kwenda Dodoma

Elections 2015 Lowassa afunika Dakawa, ni akiwa njiani kwenda Dodoma

Mungu aendelee kumlinda our next president 2020[/QUOTE]

Kama mlishindwa 2015 msitegemee tena kuchukua madaraka forever
 
Hivi lowasa ni mashoto ule mkono wa kulia mbona huwa hautumiiu sana kuzungusha anazungusha mkono kushoto akipungia akisema si mapenzi ni mahaba ni kushoto
 
View attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
Hivi Lowasa anawapa mafunzo gani?
 
View attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
Hahaha nyumbu bwana imekuwa 2020 tena ?!?!


Baadae itakuwa 2050
 
Kwa sasa anawafuata watu sehemu ambayo wamekusanyika kwa ajili ya shughuri zao za kiuchumi!

Vijana wa kudeki barabara maarufu kama nyumbu wameanza pia kumkimbia!

Ama kweli majanga yakianza kukufika, hata ufanye usanii gani huwezi kuyaepuka.

Kuchunga ng'ombe kumemshinda, kwa sasa hata kuwakusanya nyumbu kunaelekea kumshinda!

He's Mrema in the making!
Ukiwa na filosofa wenye akili kama yako, ambao mipasho ndoo hudhani ni akili ujue Taifa limefikia kikomo kufikiri
 
View attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
habari yake ina impact gani kwa nchi. hao wamasai wenzake hata akiamua akale nao chumba kimoja mwaka mzima sawa tu. haina relation na maendeleo ya wananchi na taifa. angepiga kimya kimya tu.
habari kuu ni kwamba anaenda kusimamia chama chake na kuwapa semina elekezi wabunge wake watambue kuwa yeye ndie mmiliki halali sasa wa chama. hakuna mwingine labda. mtake msitake.
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Lowassa bado anapendwa sana na watanzania wengi. Hekima, Busara, Maarifa na Uvumilivu ndio silaha yake kubwa ya mafanikio.
Hakuna namna unaweza ukazuia nyota yake ya kisiasa ising'ae, yupo bado mioyoni mwa Watanzania wengi.
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Lowassa bado anapendwa sana na watanzania wengi. Hekima, Busara, Maarifa na Uvumilivu ndio silaha yake kubwa ya mafanikio.
Hakuna namna unaweza ukazuia nyota yake ya kisiasa ising'ae, yupo bado mioyoni mwa Watanzania wengi.

A spent force!
 
View attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
Our next president ya lini? IKULU NI MAHALI PATAKATIFU.
 
Back
Top Bottom