Mbona kwenye majukwaa ya kampeni zake alikuwa anasisitiza watu wajitahidi kuiondoa CCM uchaguzi huu kwani ikishindikana haitawezekana labda baada ya miaka hamsini mingine,akitaka kuwa next pres.agombee baada ya miaka hamsini.View attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
Wanaitwa wakwaviDakawa wamasai wa kumwaga!
Hana LOLOTE La Maana ANALOLIFANYA Na Kawaandaa Hao Watu MAKUSUDI Ili Kulipa KILE Kilichofanywa Na Rais Wa JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI Jana Kule Kwao Arusha Na Monduli Pia. Ana SIASA Za KISHAMBA, KIJINGA, KIPUMBAVU NA KITOTO SANA! Tegemea Kesho Hiyo PICHA Kutokea Front Page TANZANIA DAIMA, NIPASHE, MWANANCHI / CITIZEN Na MTANZANIA Kwani HALIFICHIKI KUWA WAHARIRI WAKUU WA HIVYO VYOMBO Wako Ktk Payroll Ya Lowassa. Wakati AKITAFUTA SIFA ZA KIPOPOMA Huko ANAKOPITA MWANAMUME WA SHOKA LEO ALIKUWEPO KWAKE MONDULI ( TMA ) AKIWATUNUKU WAPIGANAJI WETU WALIOTUKUKA. Lowassa Hata UFANYE NINI UWEZO WAKO KWA MAGUFULI NI MDOGO MNO NA SANA SANA TU NINGEKUSHAURI TULIA FANYA YAKO Siasa Zako Hizi ZITAKUTOKEA PUANI Na UTAZIJUTIA.
Sijui mnadaiana manake kila habari inayomuhusu lazima ujitokeze.kwisha habari yake,expiring date yake ilishapita hatakaa awe raisi wa nchi hii
Duuh next presida kwan uchaguzi ni mwezi gani??View attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
baadhi ya watz wananisikitisha sana kwa kutaka el awe rais wa nchi hii. napata shaka kama wanaelewa siasa za nchi ya kwa miaka 10 iliyopita. napata shaka kama kweli wanaielewa ccm.View attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
Hizbu...Dakawa wamasai wa kumwaga!
View attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
Tumefarijika sana kumuona rais wetu wa ukweli, mungu ambariki awe na maisha marefuView attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
Mkuu yaani mijitu kama hiyo nafasi yao kwa mungu ni motoni maana ubaguz ubaguziKwani wamasai hawatakiwi kuwa DAKAWA...Hivi mashabiki wa CCM mtaacha lini fikra za Kibaguzi?? unataka kuwaamisha watu kuwa Lowasa alichaguliwa/anapendwa na wamasai tu?
Huyo ndiye rais wetu tuMkuu, kumbuka baada ya JPM kumaliza muda wake wa upresident, hoja ya nani apokee kijiti itakuwa: atoke zanzibar, dhehebu gani, umri ..... Huyo jamaa yetu hana nafasi tena. Tusipoteze muda. Atakuwa amekwisha kama Dr. Slaa alivyofanywa. Subiri muda utathibitisha hili. Wasalaam.
Magufuri hana bahati hiyo,lowasa ni namba nyingineJamaa anataka kushindana na Magufuli kumeki headline. ..!
Huyo gamba alipatikana kwenye mbio za mwengeasante sana kwa maneno ya busara, huyo gamba asipoelewa basi atakuwa na laana ya wazazi wake
subiri 2020 bomoabomoa kitanzi kwa ccmView attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
Huyo idawa ni guberi linaloshinda kona bar usiku na mchana kutafuta mkate wa kila sikuMagufuli alikwambia anafanya anayofanya ku make headline au ni mtazamo wako usio kichwa wala miguu? Lowassa ni Mtanzania na mwanasiasa,ambaye obviously anapendwa na baadhi ya Watanzania. Magufuli ni Rais na raia wa Tanzania. Naye pia anapendwa na baadhi ya wananchi. Kipi cha ajabu hapo mpaka kuleta kejeli? Hivi lini utaondoa kisasi moyoni mwako?
Since that moment you have become slow in thinking and quick in writing. Examine yourself and be honest and change please!
Its not good for your physical as well as spiritual health.
Sheer lovely advice!
Hilo ni gamba linasubiri kuombewaNawe ya kwako inaexpire kila lini?