msemaji wake(mbatia)alikuwa wapi? Sasa umefuka wakati afatane na lowassa kila sehemu, mzee akae pembeni na mpambe ndio aongee.Hatimaye mgombea urais ashindwa kuhutubia kutokana na tatizo la ugonjwa linalomkabili, inasemekana hali yake ilibadilika ghafla ikabidi waahirishe mkutano ili kupunguza aibu kwa wanachama.