Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na anarudi kwenu mkapokea kama shujaaa!Huyo si ndio mliomdekia hadi barabara?
Chadema ilimstiri au yeye ndie aliwastri chadema?Huyu mzee ni bora anyamaze ajilie zake pension huko! Cdm ilimsitiri sana!
Ni rahisi kumuelewa bubu akiwa anaongea lkn sio huyo mzee mamvi!Aliyemuelewa huyu mzee afafanue kwa kirefu alichoongea 😃😃
mzee kaisha hana jipya, azidi kuwepo tuenjoy ongea yake ya kutetemekaNi rahisi kumuelewa bubu akiwa anaongea lkn sio huyo mzee mamvi!
Ndiyo rangi halisi ya ma CCM
Hahahaha mnachekesha nyie ama kweli vigeugeu.Lowasa ni mchumia tumbo asiyeshiba wala kutosheka, yeye anelekea kule harufu ya pilau iko.
Bola ccm kuliko wanaochangisha mpaka maskini harafu wanazila.
Eti watafuta kodi, mda huo wanatembeza bakuri kwa raia wao.
Wawe wapole Lissu ataenda huko kuwapa neno la UponyajiImekuaje tena kamanda?
sahivi ni perfumeCCM walisema Lowassa ni kinyesi, cha ajabu lowasa alipohamia kwao amekua sio kinyesi tena bali wali unaonukia.