Uchaguzi 2020 Lowassa: Huko kina Lissu wameanza kujipambanua kwa sera, fujofujo mpaka matv mengine yanatisha. Rais wetu usitishike

Uchaguzi 2020 Lowassa: Huko kina Lissu wameanza kujipambanua kwa sera, fujofujo mpaka matv mengine yanatisha. Rais wetu usitishike

Huyu mzee ni bora anyamaze ajilie zake pension huko! Cdm ilimsitiri sana!
 
Nashauri Lowassa ataastafu siasa maana Kama usaliti Basi yeye msaliti wazi wazi aliesaliti tumaini la watanzania walio wengi akaamua kuchagua maslahi yake yalioanza kutetereka kutokana na fitna wa watesi wake

Lowassa tulia muda ushakutupa mkono
 
Pumzika kwa amani EL tunatambua wazi umelazumishwa kuongea ...Mama Maria yeye aligoma kupangiwa cha kuongea kwakuwa hana cha kupoteza...
 
Mzee kachoka mpaka anasahau mambo madogodogo .... Hivi Rais wa Australia anaitwa nani vile .........!!?
 
Tayari mtandao umesukwa wa Lowassa kuitafta Ikulu.2025 kushindana na Lissu au Maghfuli amalizapo kipindi cha pili
 
Mungu amsaidie tu huyu mzee...
Naamini pamoja na uzee lakini pia maradhi yamemfikisha hapo alipo
 
Mzee ungetulia ukaficha aibu yako, unaposema watanzania wapo nyuma ya Magufuli hayo mafuriko yaliko nyuma ya Lissu siyo watanzania?
 
Back
Top Bottom