Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Very deep down, kila mtu ni mbinafsi by nature na anaangalia maslahi yake kwanza na familia yake. Tofauti tu ni kwamba wanasiasa wanafanya openly bila aibuLowasa ni mchumia tumbo asiyeshiba wala kutosheka, yeye anelekea kule harufu ya pilau iko.