Uchaguzi 2020 Lowassa: Huko kina Lissu wameanza kujipambanua kwa sera, fujofujo mpaka matv mengine yanatisha. Rais wetu usitishike

Uchaguzi 2020 Lowassa: Huko kina Lissu wameanza kujipambanua kwa sera, fujofujo mpaka matv mengine yanatisha. Rais wetu usitishike

Kumbe mzee ametishika na nguvu ya Lissu eeh???😂😂😂😂

Sasa mwambieni atulie. Watanzania tunaenda kuandika historia mwaka huu kwa kumuondoa Jiwe madarakani.

Yeye mwenyewe kanyanyaswa sana na Jiwe hadi akaamua kuunga mkono juhudi. Sasa atulie atuache watu tumtoe nduli Jiwe madarakani
 
[emoji38][emoji38][emoji38] mzee Lowasa anachanganya ma file Bolivia Australia maraisi wanajiuzulu kwa Korona mara fujo mara nini....

Tuendelee kumstahi maana alituinua kiasi chake 2015....

Lazima achanganye mafile maana waliomtenda ndio hao hao anajaribu kuwapamba lakini Mungu sio Asumani anaufunga ulimi na ubongo wake ili andiko litimie.
KIJANI MUST GOOOOOOO
 
Kumbe mzee ametishika na nguvu ya Lissu eeh???😂😂😂😂

Sasa mwambieni atulie. Watanzania tunaenda kuandika historia mwaka huu kwa kumuondoa Jiwe madarakani.

Yeye mwenyewe kanyanyaswa sana na Jiwe hadi akaamua kuunga mkono juhudi. Sasa atulie atuache watu tumtoe nduli Jiwe madarakani
Jipeni moyo kwa hali na mali na hiyo ni haki yenu! Binafsi sijawahi sikia wala kusoma mahali popote mshindani akisema ATASHINDWA; hata huyo kibaraka wenu, Amsterdam, hawezi kusema TRUMP ATASHINDWA kwenye uchaguzi wao wa Novemba! Anayo haki ya kukomaa hadi mwish, na nyie hivyo hivyo! Na hata hapo mtakapo shindwa mtazua mengine mengi - aaah tumeibiwa kura, aaah mawakala wetu walifukuzwa vituoni, aaah walibeba na kukimbia na sanduku/masanduku ya kura na mengine mengi ya aina hiyo!
 
Lowasa ni mchumia tumbo asiyeshiba wala kutosheka, yeye anelekea kule harufu ya pilau iko.
Kwani umemuelewa amesema nini? Sentensi zake sizielewagi kabisa. Anaongea kama anatetemeka, anaogopa kitu. Kwa kweli sijamuelewa. Kitu kimoja wazi kabisa: Lissu ataua mtu/watu kwa presha. Subiri mambo yakolee, ndege iingie runway.
 
ababu nyuma ya pazia kuhusu hoja ya majimbo;

#raisi anapunguziwa madaraka wanapewa wananchi kuchagua viongozi wa majimbo yao

#Bunge linapunguziwa nguvu ya kupitisha sheria kwa kupendelea chama tawala kwa sababu kunakuwa na mabunge mawili(two chambers.. upper and lower) ambapo sheria mpk ifike kwa rais lazima ipitishwe kwenye kila bunge na mara nyingi chama kimoja hakiwez kutawala mabunge yote ko ni ngumu kupitisha sheria mbovu mbovu...

#Mapato na matumiz ya kila jimbo yanasimamiwa na jimbo husika na kias kinaenda serikali kuu kama senate akizngua anapigwa chini kwa hapo ila kauli ya chagua ccm upate maendeleo haipo kabisaa

hizi ndo sababu CCM hawataki kukubali sera ya majimbo wanakimbilia kusema yatatugawa na yanaleta ubaguzi ikumbukwe kabla ya uhuru tulikuwa na huu mfumo na kenya ambao Katika ujasusi wa kiuchumi wametupita mbali wanatumia mfumo wa majimbo
 
Soma, soma tena kwa utaratibu ndipo utakapo muelewa huyo mzee anasema nini! Taabu yenu ni kuwa ulisha funga akili yako kwa mambo wanayosema wa upande huo, wewe unataka kusoma na kusikiliza ya upande wako/huu tu! Hiyo mentality itakudumaza.
hiyo ni video clip nisome nini? wazee wengine kwa kukariri!
 
Hivi Lowassa yuko timamu, amecha kutetemeka na kutafuna maneno
 
Jipeni moyo kwa hali na mali na hiyo ni haki yenu! Binafsi sijawahi sikia wala kusoma mahali popote mshindani akisema ATASHINDWA; hata huyo kibaraka wenu, Amsterdam, hawezi kusema TRUMP ATASHINDWA kwenye uchaguzi wao wa Novemba! Anayo haki ya kukomaa hadi mwish, na nyie hivyo hivyo! Na hata hapo mtakapo shindwa mtazua mengine mengi - aaah tumeibiwa kura, aaah mawakala wetu walifukuzwa vituoni, aaah walibeba na kukimbia na sanduku/masanduku ya kura na mengine mengi ya aina hiyo!
Amini amini nakwambia ndugu. CCM ni kambi rasmi ya upinzani bungeni 2020 - 2025
 
Back
Top Bottom