kambiyamkaa
Senior Member
- Aug 9, 2020
- 122
- 110
Nimeshindwa kumwelewa...kuna kitu ametaja kuwa Bolivia na Australia Marais wamejiuzulu sababu ya Corona...yan bado anazungumzia Corona wakati Mtu yuko hoi pacemaker imefyatuka huko Dodoma😀Aliyemuelewa huyu mzee afafanue kwa kirefu alichoongea 😃😃
hahahaaaaaaCCM walisema Lowassa ni kinyesi, cha ajabu Lowasa alipohamia kwao amekua sio kinyesi tena bali wali unaonukia.
Tulikuwa tunamsanifu tu. Tulijua lazima arudi nyumbani kwa mafisadi wenzake. Si unaona alivyopokelewa kwa bashasha na fisadi mwenzake pale Lumumba na dereva wake alikuwa fisadi mwandamizi RAFisadi? Huyu muliekua mnampigia deki barabarani? Mliyekuwa mnasema kama fisadi mbona hapelekwi mahakamani. Ndio huyu au?
Mlimpa sifa hizi hizi Membe na Mage Kimambi lakini kilichotokea wote tulishuhudia, wabongo bana, mchana wenu usiku mna yenu. umejiandikisha??Amini amini nakwambia ndugu. CCM ni kambi rasmi ya upinzani bungeni 2020 - 2025
Kwani Nime kuomba uniite au una jipendekeza ..Kweli na wewe tukuite "mkuu" kama tunavyitana hapa JF?
Kuna yeyote hapo kati ya hao wote aliyeponywa risasi 16 na Mungu?Mlimpa sifa hizi hizi Membe na Mage Kimambi lakini kilichotokea wote tulishuhudia, wabongo bana, mchana wenu usiku mna yenu. umejiandikisha??
Hii kauli ya Lowassa bila shala wanaccm mmemwelewa.Lowassa: Mimi sina mashaka juu ya kushinda, mashaka yangu atapita kwa kura ngapi. Huko kwa kina Lissu wameanza kujipambanua sana, maneno mengi, fujo zile, wanaonekana kwenye mamitaa, matv, matv mengine yanatisha tisha lakini tulimwambia Rais wetu usitishike hata kidogo.
Sio wote wenye mvi wana busaraAliyemuelewa huyu mzee afafanue kwa kirefu alichoongea [emoji2][emoji2]
Mi simuelewi kabisaSio wote wenye mvi wana busara
Eti matv matv tviiiii