Uchaguzi 2020 Lowassa: Huko kina Lissu wameanza kujipambanua kwa sera, fujofujo mpaka matv mengine yanatisha. Rais wetu usitishike

Uzee unakuja na mambo Mengi. Mungu amsamehe huyu Babu kwa kweli
 
Huyu mzee nimemuelewa kuwa Chadema ni wapenda fujo.
 
Tulikuwa tunamsanifu tu. Tulijua lazima arudi nyumbani kwa mafisadi wenzake. Si unaona alivyopokelewa kwa bashasha na fisadi mwenzake pale Lumumba na dereva wake alikuwa fisadi mwandamizi RA
Hilo ndio tatizo lenu hamueleweki mnasimamia wapi. Nina imani hata huyu chotara wa kibelgiji mnaemuabudu leo kesho mtasema hawafai mlikua mnamsanifu tu ili asijisikie vibaya kuachishwa posho za ubunge na kugombea kitu ambacho anajua hakiwezekani kwake.
 
Huyu mzee naye anaongea upumbavu gani huu? Ni ma-TV gani ameyaona yanaonesha kampeni za Lissu? TV zote si kamiliki mzee Walwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…