Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Lowasa ni mchumia tumbo asiyeshiba wala kutosheka, yeye anelekea kule harufu ya pilau iko.
Hilo ndio tatizo lenu hamueleweki mnasimamia wapi. Nina imani hata huyu chotara wa kibelgiji mnaemuabudu leo kesho mtasema hawafai mlikua mnamsanifu tu ili asijisikie vibaya kuachishwa posho za ubunge na kugombea kitu ambacho anajua hakiwezekani kwake.Tulikuwa tunamsanifu tu. Tulijua lazima arudi nyumbani kwa mafisadi wenzake. Si unaona alivyopokelewa kwa bashasha na fisadi mwenzake pale Lumumba na dereva wake alikuwa fisadi mwandamizi RA
Ndiyo rangi halisi ya ma CCM
Huyu mzee naye anaongea upumbavu gani huu? Ni ma-TV gani ameyaona yanaonesha kampeni za Lissu? TV zote si kamiliki mzee Walwa?Waziri mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwa Monduli kwenye kikao cha chama cha mapinduzi ambapo mwanae Fred Lowassa anawania jimbo hilo, alipata fursa ya kuongea na kumuelezea Dkt. Magufuli aliyoyafanya katika vita dhidi ya Korona. Pia kwenye kikao hicho alikuwepo Mizengo Pinda.
Lowassa: Mimi sina mashaka juu ya kushinda, mashaka yangu atapita kwa kura ngapi. Huko kwa kina Lissu wameanza kujipambanua sana, maneno mengi, fujo zile, wanaonekana kwenye mamitaa, matv, matv mengine yanatisha tisha lakini tulimwambia Rais wetu usitishike hata kidogo.
Umma wa watanzania uko nyuma yako na dunia inajua kwamba kuna mwanaume Tanzania. Nasema hivyo kwa sababu, Australia kama ulisikiliza BBC leo, Rais anajiuzulu, kule Bolivia Rais anajiuzulu yote kwa sababu ya hii kitu, Corona si mchezo.
Nyinyi mtu wenu tena mtu mweusi hana nguvu za kimitume anakwenda anawaambia Taifa lake, jamani tumuendee mwenyezi, tumuombe atusaidie tuondokane na hili janga. Watu wa ajabu, wakasema huyu anababaisha tu. Anababaisha? Imepita wiki mbili, tatu hamna korona.
Kwamba kama Magu akishinda basi atashinda kwa wizi maana hofu yake Magu anaweza shinda kwa kura pungufuAliyemuelewa huyu mzee afafanue kwa kirefu alichoongea 😃😃