Elections 2015 Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake


Umeandika hivi kama unampa ushauri mzuri Lowasa kumbe unaogopa iwapo ataamua kuikacha CCM na kuongeza nguvu upande mwingine ili CCM ishindwe.
 

WEWE MCCM UNAOGOPA CHAMA CHAKO KUSAMBARATIKA, MTUMIE MESEJI LOWASA UMBEMBELEZE ASIYAFANYE HAYo
 
mmh!!!
Ya kweli haya!!

Hatma ya uhai wa CCM upo kwa huyu bwana.

Inawezekana na isiwezekane....one broadcast inaweza kubadili kila kitu, serikali yao ya ccm haijaanza jana au juzi......!!! Mshaurini awe mwangalifu. Mrema alichemka yeye ataweza kuadhirika zaidi na hasa hao waliojiweka wazi kuwa timu yake.
 

Kama Lowassa angekuwa na akili timamu, kwenye kikao hicho cha waandishi wa vyombo vya habari alipaswa kuwasuta wapambe wake wote wanaotumia mgongo wake kujipatia fedha zake wakati wanajua afya pekee haimruhusu kugombea uongozi wa Taifa hili mbali na ufisadi ambao Baba wa taifa alimuambia waziwazi mnamo 1995. Ungekuwa ni wakati mwafaka wakuwatosa akina Mgheja, Emmanuel Nchimbi, Sofia Simba, Bashe, Lawrence Masha, Apson mwang'onda na akina Ramadhani Madabida. Hawa ni wanafiki ambao wanajua huyu fisadi hana nafasi kwenye nchi hiii lakini wanamdanganya ili amalize fedha zake alizotuibia. Bora akalee vijukuu vyake tu huko Monduli
 

Kwa UKAWA hii ya Sacco's. Bado sana
 

haujui magufuli,waulize makandalasi wa kichina na mbwembwe zo za ubalozi walipoiba pesa za ujenzi wa uwanja wa taifa na barabara ya Arusha alichowafanya ndo utajua magufuli akisema anamaanisha,huyu ni nyerere wa pili,

 
haujui magufuli,waulize makandalasi wa kichina na mbwembwe zo za ubalozi walipoiba pesa za ujenzi wa uwanja wa taifa na barabara ya Arusha alichowafanya ndo utajua magufuli akisema anamaanisha,huyu ni nyerere wa pili,


mkuu majizi waliopo ccm wananguvu zaidi ya huto tu michina.hata kikwete mlisema hivi hivi na kumpa jina la jk mpya mara mjeda.lkn yako wapi.magufuli hafanyi yake anafanya chama kinachoagiza na chama kilishashikwa namajangili.akikaza shingo yanamkuta ya mwakye.
 
Kwa list hii msitegemee Lowasa atasema anapingana na maamuzi ya CCM zaidi ya hapo mtegemee akisema ata muunga mkono Lowasa na kusema amevunja kundi na kussuport CCM kupitia Magufuli!

Kama kuna mtu anasubili kuona na kusikia Lowasa anahama chama huyo amechanganyikiwa kabisa na wapinzani mwaka huu mnayo kazi si kitoto kama mlitegemea kupata mbereko ya Lowasa mmenoa!

Lowasa nje ya CCM ni sawa na samaki nje ya maji!
 

Mmmh
Kuna aliye msafi huko ccm?

Japo simtetei bt tuwe wakweli tu!Kati ya hao wanamnyooshea kidole au ht huyo swahiba ana usafi gani cha kuona huyo mwenzao hafai kiasi hicho?
 
WEWE MCCM UNAOGOPA CHAMA CHAKO KUSAMBARATIKA, MTUMIE MESEJI LOWASA UMBEMBELEZE ASIYAFANYE HAYo

kwani ni ugonvi nendeni kwake muandamane ili aende mnakotaka kumpeleka,ila nakumbusha rais ni mpango wa mungu na mungu akikupanga kuwa wewe utakuwa rais hakuna mwanadamu wa kubadilisha lowasa tangu 1995 unaangaika wewe sio ,na mungu hapendi,na hata kama unamuomba mungu lkn yeye hajataka,

 
Akihama CCM kwanza kesi ya Richmond inafufuliwa na CCM, kesi itaendeshwa na hukumu kutolewa ndani ya wiki moja, kisha ataswekwa ndani akampe kampani Mramba na Yona. We chezea chama dola. Na yeye alikuwa huko huko


Ha ha ha ha akawape kampani Daniel na Basil... na ile ule usemi waziri mkuu mstaafu itakuwa WAZIRI MKUU ALIYEFUKUZWA kwa kuliingizia Taifa hasara ya mamilioni! Na hapo waanika mpk maradhi yake ajaribu aone
 
Ccm wana mbwa anaitwaq "TRA" huyo akisakiziwa kwako uchomoi! Na yeye ni mfanyabiashara. Wanaweza wakamtumia Takukuru pia. Afute ndoto ya uraisi labda kama anataka kuama agombee ubunge na hicho chama kipya ajihakikishie ubunge wa Monduli hapo ndio naye amwage mboga.
 
Another thread about Lowassa baada ya kukatwa na ku retire.

Kwa lipi la mno saaaana alilolifanya kwa mwaka mmoja na nusu akiwa Waziri Mkuu ????

Lipi la ajabu hilo la kukumbukwa, kupiga marufuku machimbo ya kokoto Kunduchi? Na bado baadae kokoto zikaendelea kuchimbwa.
 

Mzee tumechoka na hii post kwan Huyu magufuli hana kashfa nyingine ni hizhiz tu.....tumeshazichoka kama unanyngine leta kama huna kaa kimya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…