Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Wanatafuta msaada wa mazishi washajikatia tamaa.Lowassa Kwisha Habari yake ....kabakia mpiga debe kaama Sheikh Kassim Mtopea ..anaelekea kuwa kama Mrema sasa
Huwezi ukapambana na mifumo uliyoweza ibadili ukiwa kwenye system ukaweza ibadili badala ya kuwa nje ya system