Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ameongea wapi na saa ngapi??
Kumbuka Shetani ana watu wengi kuliko Lowasa
Tena kasema kuwa yeye ni mmoja wa wanaohitaji mabadiliko ndani ya CCM. Na asipoyapata atatafuta nje ya CCM. sasa sijui anatafuta mabadiliko au madaraka? Binafsi Lowasa simuelewi hata kidogo. Huwa anajichanganya sanaBinafsi nimemsikia kupitia ITV ingawa sikumsikia vizuri.
Nje ya CCM Lowasa hana jeuri yoyoteNi fursa ya kuonesha nguvu yake nje ya ccm.
Ile jeuri yake kwamba yeye hatoki CCM na wasiomtaka ndo waondoke imeyeyukaje? Kweli Lowasa ameanza kuchizika
Mkuu, mbona unawayawaya sana?Hayo ameongea wapi na saa ngapi??
Kumbuka Shetani ana watu wengi kuliko Lowasa
Endeleeni kumpa matumaini hewahilo ndo analojivunia,na atawapata tu
Siku zake zinahesabika. Soon atakuwa chiziHuyu mzee amewehuka nakwambia. Yupo mithili ya nyati alojeruhiwa mwituni.
Unaambiwa siku hizi ni MKALI mno, anaweza kumrarua mtu.
Ni kama Binadamu anayeelekea kukata roho.
Omba sana,kwa sababu Lowassa atashika nafasi ya pili na Dr Slaa atashika nafasi ya tatu.Nashinda kwenye majumba ya ibada nikiomba mungu ccm wakate jina la mzee EL ili magogoni ukawa waende kama kumsukuma mlevi
Lowassa ameshaona dalili ya jina lake kukatwa hivyo anawaandaa kisaikolojia wafuasi kuwa anapanga kuhama CCM.Tena kasema kuwa yeye ni mmoja wa wanaohitaji mabadiliko ndani ya CCM. Na asipoyapata atatafuta nje ya CCM. sasa sijui anatafuta mabadiliko au madaraka? Binafsi Lowasa simuelewi hata kidogo. Huwa anajichanganya sana
Kwa mtazamo wangu Dkt Pombe Magufuli au Prof Muhongo ndo wagombea Sahihi otherwise tuangalie jirani atakuja na mali ipi, Sifa ya Msingi kwa mgombea kutoka CCM ni kupata mtu asiemuonea aibu Mtu, Jk sababu kubwa ya kushindwa kwake ni kuwaonea aibu watu wake, Chadema angalau ilimsaidia kupunguza kasi ya wanamtandao maana walimzingira kama nzi kwny Kidonda lakini angalau ilisaidia
Ndani ya Ccm hamna mgombea mwenye sifa hata mmoja.
Viatu JK kivifanya over size vinampwaya kila mtu
Watu pekee wenye saizi ya viatu vya Jk japo vimechakaa ni ukawa tu