makundubhyali
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,389
- 883
we uoni kwenye msafara wake alivyo na walinzi wengi, bila shaka ndio maana baada ya vijana kumzuia njiani wakitaka aseme lolote hakusema kitu, haya ni maelekezo aliyopewa. Don't talk and live or talk and die. Mtu uko nyumbani unashindwa hata kusalimia ndugu zako au kusema tu nashukuru kwa kuwa pamoja nami asanteni sana ?!! no , there is something hidden here !!Let us be patient days will tell.Hivi ule uzi uliotupiwa jana hapa na pasco kuwa yupo chini ya uangalizi mkali ili hasiwasiliane na watu wa nje ni kweli?