Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

KAMA NI KWELI, As unbiased and independent ANALYST, hilo litakuwa anguko takatifu la CHADEMA NA UKAWA.

6

Sijabahatisha Mkuu Na Ndani Ya Siku 3 au 5 Kutoka Sasa Mtanivulia KOFIA Humu Na Kunipigia SALUTE. Najiamini Kushinda Hata MALAIKA Wa Mbinguni.
 
Kama Nilivyokwisha Sema Huko Mwanzo Kuwa Magufuli Atakuwa Ndiyo Chaguo La CCM Kwa Vile Vigezo Nilivyowapeni Sasa Katika Hali Ya Kujiamini Kabisa Nawapeni Taarifa Hii Kuwa Mzee Mtei Amekubali Rasmi Kujitaoa Muhanga Kwa Kumtoa Katika Kinyang'anyiro Dr. Slaa Kuwa Mgombea Wa Urais Kwa Tiketi Ya UKAWA Na Sasa Ni Rasmi Kuwa Ndugu Edward Ngoyai Lowassa Muda Wowote ANAHAMIA RASMI Kutoka CCM Na Kuhamia CHADEMA Na Hapo Hapo Kupewa Nafasi Ya Kupeperusha Bendera Ya UKAWA Katika Mbio Za Kuelekea IKULU Mwezi October Tarehe 25.

Muda Wowote Kutoka Sasa Walinzi Wake Wakiongozwa Na Bwana Aloyce Tendewa Wanarudi Idarani Kuendelea Na Majukumu Yao Mengine Na Kinachosubiriwa Sasa Upande Wa UKAWA Kumtangaza Ni Kuwa Wanaweka Mambo Sawa Katika Nyanja Zote Na Katika Siku 3 Hizi Lowassa ATATANGAZWA Rasmi Kuwa Ametua CHADEMA Japo Mke Wake Mama Regina Amejitahidi Mno Kumsihi Mumewe Asihame CCM Lakini Lowassa Bado Ana Machungu, Hasira Huku Akishawishiwa Vibaya Na Washauri Wake Wakuu Haswa Haswa Mzee Apson Mwang'onda.

Mliokuwa Mkinidhihaki Kuhusu Magufuli Na Akawa Yeye Sasa Wote Mmepotea Hebu Nidhihikani Na Hili Pia Na Nina Uhakika 100% Wa Hii Breaking News Yangu Kwenu. Lowassa Kuhamia CHADEMA Rasmi Na Kuwa Mpeperusha Bendera Kwa Tiketi Ya UKAWA. Take It From Me! Fumbo Alilolifumba Jana Mbunge James Mbatia Mlilielewa?

We ni mbu::::::mbu kweli...Nifkri humu. Tuko great thinkers tu kumbe kuna na ke:::::nge? Sasa katika post unasema walinzi wake wanarudi idarani
Inamaana walikuwa walinzi wa ccm au serkali? Na swali akihama chama serkali inamnyanganya walinzi? Na je yeye alikuwa waziri mkuu wa ccm au tanzania?



Bahati Mbaya Sana Huwa Nina Allergy Kujibizana Na MAPOPOMA Na WALIBERALI Kama Wewe. Usipoteze Muda Wako Kutaka KIKI Kwangu.
 
Imekuwa ni jadi sasa kwa Watanzania kuwa na tatizo la kusahau namna siasa za CCM zilivyo hapa nchini. Mwaka 2005 Rais wa sasa Kupitia C CM Kikwete alionekana kuwa chaguo sahihi na baadhi ya watu na viongozi wa kidini walisema alikuwa ni chaguo la Mungu!

Lakini utendaji wake na hasa katika kushughulikia matatizo ya wananchi ya moja kwa moja haukuwaridhisha wananchi wengi na baadhi wanasema kheri aondoke mapema. Leo naona amekuja Dr. Magufuli
ghafla Watanzania naona wamesahau taabu na suluba zilizosababishwa na uongozi wa chama kile kile cha CCM. Sasa watu wameanza tena kuweka matumaini ya ukombozi mpya wa kiuchumi na tofauti za kitabaka utakaoletwa na Dr.Magufuli.

Ni muhimu tukajiuliza ni njia zipi mpya ambazo Dr.Magufuli atatokea ambazo wenzake hawakuzipitia? Wakati wananchi tukiendelea kupigika ndani ya utawala wa CCM, Dr.Magufuli alikuwa ni sehemu ya uongozi uliotufikisha hapa. CCM ina sera ambazo kwa sasa wanahitaji mfumo mpya wa uongozi na lazima wajifunze wakiwa nje ya uongozi ndipo wanaweza kuelewa haya tunayoyazungumza.

Ni vema watanzania tukawa na fikra za kimapinduzi ili kifanya maamuzi magumu dhidi utawala wa kimazoea na kuingiza utawala wa kisasa unaojali mahitaji na mawazo ya wananchi wa hali ya chini kuliko ilivyo sasa!
 
Mpaka hapo naamini hujui unachokiandika,apson aliwekwa kwenye kambi ya lowassa na idara kwa lengo la kuharibu mipango ya lowassa kuwa rais pasipo mtu yoyote kugundua, at the moment, lowassa amegundua kwamba apson amemuuza na hawaongei,lowassa amesusa, nakushangaa unavyosema spson anamshawishi lowassa ahamie ukawa,that's totaly wrong

Kapumzike Tu Wewe POPOMA Huna Unachokijua Na Labda Na Wewe Leo Ulikuwa Tu Una Hamu Ya Kujibizana Na Mimi Humu Ujulikane.
 
na hapo malengo ya ukawa yatakuwa wazi.... kama kuna mtu ametukanwa na ukawa ni huyu mh,, na yule wa vijisenti... kama wanamtakatisha huyu basi mgombea mwenza awe mama tiba,, au wa kwetu

Mtu yoyote anaweza kuwa mwanachama wa chadema hata wewe pia
 
Haitowezekana yeye kuwa mgombea uraisi kupitia ukawa na hawataweza kumpokea. Hiyo sahau
 
Kama Nilivyokwisha Sema Huko Mwanzo Kuwa Magufuli Atakuwa Ndiyo Chaguo La CCM Kwa Vile Vigezo Nilivyowapeni Sasa Katika Hali Ya Kujiamini Kabisa Nawapeni Taarifa Hii Kuwa Mzee Mtei Amekubali Rasmi Kujitaoa Muhanga Kwa Kumtoa Katika Kinyang'anyiro Dr. Slaa Kuwa Mgombea Wa Urais Kwa Tiketi Ya UKAWA Na Sasa Ni Rasmi Kuwa Ndugu Edward Ngoyai Lowassa Muda Wowote ANAHAMIA RASMI Kutoka CCM Na Kuhamia CHADEMA Na Hapo Hapo Kupewa Nafasi Ya Kupeperusha Bendera Ya UKAWA Katika Mbio Za Kuelekea IKULU Mwezi October Tarehe 25.

Muda Wowote Kutoka Sasa Walinzi Wake Wakiongozwa Na Bwana Aloyce Tendewa Wanarudi Idarani Kuendelea Na Majukumu Yao Mengine Na Kinachosubiriwa Sasa Upande Wa UKAWA Kumtangaza Ni Kuwa Wanaweka Mambo Sawa Katika Nyanja Zote Na Katika Siku 3 Hizi Lowassa ATATANGAZWA Rasmi Kuwa Ametua CHADEMA Japo Mke Wake Mama Regina Amejitahidi Mno Kumsihi Mumewe Asihame CCM Lakini Lowassa Bado Ana Machungu, Hasira Huku Akishawishiwa Vibaya Na Washauri Wake Wakuu Haswa Haswa Mzee Apson Mwang'onda.

Mliokuwa Mkinidhihaki Kuhusu Magufuli Na Akawa Yeye Sasa Wote Mmepotea Hebu Nidhihikani Na Hili Pia Na Nina Uhakika 100% Wa Hii Breaking News Yangu Kwenu. Lowassa Kuhamia CHADEMA Rasmi Na Kuwa Mpeperusha Bendera Kwa Tiketi Ya UKAWA. Take It From Me! Fumbo Alilolifumba Jana Mbunge James Mbatia Mlilielewa?

Lowassa UMESHAJIPOTEZA Rasmi Kisiasa.



Imekuwa ni jadi sasa kwa Watanzania kuwa na tatizo la kusahau namna siasa za CCM zilivyo hapa nchini. Mwaka 2005 Rais wa sasa Kupitia C CM Kikwete alionekana kuwa chaguo sahihi na baadhi ya watu na viongozi wa kidini walisema alikuwa ni chaguo la Mungu!

Lakini utendaji wake na hasa katika kushughulikia matatizo ya wananchi ya moja kwa moja haukuwaridhisha wananchi wengi na baadhi wanasema kheri aondoke mapema. Leo naona amekuja Dr. Magufuli
ghafla Watanzania naona wamesahau taabu na suluba zilizosababishwa na uongozi wa chama kile kile cha CCM. Sasa watu wameanza tena kuweka matumaini ya ukombozi mpya wa kiuchumi na tofauti za kitabaka utakaoletwa na Dr.Magufuli.

Ni muhimu tukajiuliza ni njia zipi mpya ambazo Dr.Magufuli atatokea ambazo wenzake hawakuzipitia? Wakati wananchi tukiendelea kupigika ndani ya utawala wa CCM, Dr.Magufuli alikuwa ni sehemu ya uongozi uliotufikisha hapa. CCM ina sera ambazo kwa sasa wanahitaji mfumo mpya wa uongozi na lazima wajifunze wakiwa nje ya uongozi ndipo wanaweza kuelewa haya tunayoyazungumza.

Ni vema watanzania tukawa na fikra za kimapinduzi ili kifanya maamuzi magumu dhidi utawala wa kimazoea na kuingiza utawala wa kisasa unaojali mahitaji na mawazo ya wananchi wa hali ya chini kuliko ilivyo sasa!
 
Moderator Mbatia ashatoa toa tamko kwa niaba ya Ukawa.Cuf leo wametoa Tamko kuhusu uzushi na uvumi uliokuwa unaendelea,baada ya kikao cha jana.
Futeni huu uzushi hauna tija,La sivyo muwe wavumilivu kwa kila uzushi utakao bandikwa hapa.
Cc Invisible



Wakati Ukitokwa Na Mapovu Ya Wivu, Chuki Na Hasira Sasa Uzi Umeshafika Page Ya 9 Na Watu Wanazidi Tu Kutiririka Nao. Tatizo NYOTA!
 
Kwani ni ajabu Lowasa kujiunga CHADEMA??
Alijiunga Dr Slaa toka CCM,wakampokea,
Mtei mwenyewe alikuwa CCM,sasa nani
alikuwa KANU hapo??
Acheni utoto,

Mkuu ilikuwa rahisi kwa Dr. Slaa kwa vile hakuwa na link kiasi hicho na CCM. Lowasa ma-deal yake aliyopiga na akina Rostam na Karamagi kwa mgongo wa CCM ambayo hadi leo anavuna mabilioni ya pesa kila mwezi atathubutu kufanya hivyo? Akidiriki hawakawii ku-freeze na akaunti zake za benki, period.
 
Tatizo la CCM sio aina ya kiongozi anayeshika Uraisi bali ni mfumo mzima ambao hautufai kabisa na wao Bado wanauamini sana lakini sisi wananchi wakawaida ndiyo unatuumiza sana.
 
Mzee Kingunge kashasema EL yuko tayari kumuunga mkono Magufuli. Habari yako ni feki brother.

Leo Wengi Sana Mtapata KIKI Kwa Kuweza Kujibizana Na Mathematician Mimi Na Si Ajabu Hata Huko Mitaani Kwenu Mkajisifu KIPOPOMA.
 
Leo Wengi Sana Mtapata KIKI Kwa Kuweza Kujibizana Na Mathematician Mimi Na Si Ajabu Hata Huko Mitaani Kwenu Mkajisifu KIPOPOMA.

Nani ajisifu kunguni wewe! Kwanza jukwaa la siasa hauliwezi hadhi yako ipo jukwaa la mapishi kawafundishe kule.
 
kweli nimeamini hakuna upinzani wa kweli,CHADEMA WANAFIKI,huyo ROWASA kisa katoka kaskazini,?kweli nimeamini CHAGADEMA mradi wa wanakaskazini,

Wewe Kumbe Ndiyo Unalijua Hili Leo? Fuatilia Kwa Umakini Sana Hata Wakati Lowassa Anatangaza Nia Ni Watu Wa Mikoa Gani Miwili Walikuwa Wanamtetea, Kumbemba, Kuhimizana Na Kumpamba? Ni Mikoa Ya A Na K Na Hao Kwa UKABILA Na KUBEBANA Hawajambo Hapa Nchini Tanzania Bora Hata Ya Watani Zangu Wahaya.
 
Back
Top Bottom