Mimi nimefanya kazi shirika flan la UN Aisee wanaokula mpunga mnene ni wakenya na waganda na watu wengine kutoka mataifa mbali mbali ya Africa, Asia, ulaya na marekani. Sisi wa TZ tulikuwa kama vibarua halafu ndo graduates. Jamani!! Elimu. Tunadharaulika sana. Mimi naunga mkono juhudi za Lowassa kuhusu ELIMU, ELIMU, ELIMU.
Umewahi kuomba kazi kwenye mashirika ya kimataifa au hata hapa nc b ini ambapo uajiti uko open kwa wayu wote wa dunia? Elimu bora ni muhimu na wala mimi sisemi ya bure bali nasisitizia elimu iliyo bora.Huyu naona hayuko sawa kbsa.aje udsm cafeteria saa Saba mchana tunavosukumana Afu anasema bdoo Hatujasoma bdo.wkti tunaacha kaka zetu nyumbani tena graduates wa computer science wanakodisha movie za kibongo kwenye vibanda na ucku wanaenda kua ma-dj kwnye vigodoro.vyeti vyao ni second class tena wengne upper wanakosa ajira Afu bdo anasema hatujasoma..yni anazidi kunitia Hasira..kweli Tajiri hawezi kuongoza mSikini Anachukulia vitu easy easy sana
Sio sawa na ndio maana kwa kutumia uzoefu wa Wamasai wa Monduli, anadhani kuwa watanzania ni wajinga wa kuhitaji elimu.Mgombea urais anayeungwa mkono na vyama vinne vinavyonda ukawa amesema, kila mtanzania anatakiwa aneemeke na rasilimali zake zilizomo nchini sio wageni.
Pia akaongeza akipata ridhaa kuwa rais atahakikisha elimu inatawala kwa kila rika ili iwasaidie watu kujiajili kwani bila elimu huwezi leta viwanda, maana viwanda bila elimu haiwezekani.
Akaongeza ukileta viwanda watanzania hawana elimu ya kutosha kwani itabidi kuajili watu toka nje na kuajili tena watanzania na kuwa madei waka hiyo kitu hataki.
Elimu kwanza, watanzania wasome na wasimamie viwanda wao wenyewe na kuongeze pato la ndani la taifa.
Hiyo kauli iko sawa kweli?
View attachment 297290
So, the current plants/factories we do have now, how are we operating them? The dude is a fool and dumb.
Makufulu hana vision, he jus spit shits, anachojua ni kupiga push up na kukata mauno
Umesema cha maana sana. Wasomi wapo kibao na vyuo vinawatapika kila mwaka, wapo mitaani hawana kazi. Ndo hao wa kwenda kuanza huko viwandani.
Huyu naona hayuko sawa kbsa.aje udsm cafeteria saa Saba mchana tunavosukumana Afu anasema bdoo Hatujasoma bdo.wkti tunaacha kaka zetu nyumbani tena graduates wa computer science wanakodisha movie za kibongo kwenye vibanda na ucku wanaenda kua ma-dj kwnye vigodoro.vyeti vyao ni second class tena wengne upper wanakosa ajira Afu bdo anasema hatujasoma..yni anazidi kunitia Hasira..kweli Tajiri hawezi kuongoza mSikini Anachukulia vitu easy easy sana
Tataizo ni sera ya ajira na.utashi wa wenye viwandaNenda kwenye plants na factories tafuta ni watanzania wangapi wanashikilia nafasi za juu za uongozi au uendeshaji. Baada ya hapo rudi kwenye hii comment yako halafu uone nani ni fool na dumb!
Tibaijuka alikuwa Boss UN HABITAT, Migire naibu katibu mkuu UN ! Bolshevick jipange !
Not spit ni split
Tataizo ni sera ya ajira na.utashi wa wenye viwanda
Wewe hapo ulipo kwa fani yako huwezi pewa high post ukaitendea haki??!!!
Kwa nini unadhani waliosomea engineering, HRM, accounts, marketing etc hawawezi??!!
We shall need transition period na on job trainings then watu wanashika vitengo, viwanda vinawezekana. . . . .
So, the current plants/factories we do have now, how are we operating them? The dude is a fool and dumb.[/Q
What plants does Tanzania have, most are private owned nchi kama nchi haina kitu . Na hizo private majority of Tanzanians are there kama vibarua, accounts na engineers are foreigners kama wahindi na wengine. Kibarua ataelekezwa ku run machines tena kwenye mazingira magumu na hafifu mfano halisi tembelea industrial area ya igogo mwanza you will see it by ur yourself. Watanzania hatupaswi kurumbana tunapaswa kuelimishana
angalia hao uliowataja wana hadhi gani TIBAIJUKA,MIGIRO na si Bandiwe,Bolshevick wala muxar.nadhani lowassa anazungumzia elimu kwa watz wa kawaida sana,na sio vigogo na watoto wao kwa sababu hao wana Tanzania yao na Elimu yao tofauti na hii yetu.Hata hivyo viwandani wengi ni sisi wa kawaida.ELIMU,ELIMU,ELIMU.
So, the current plants/factories we do have now, how are we operating them? The dude is a fool and dumb.
So, the current plants/factories we do have now, how are we operating them? The dude is a fool and dumb.[/Q
What plants does Tanzania have, most are private owned nchi kama nchi haina kitu . Na hizo private majority of Tanzanians are there kama vibarua, accounts na engineers are foreigners kama wahindi na wengine. Kibarua ataelekezwa ku run machines tena kwenye mazingira magumu na hafifu mfano halisi tembelea industrial area ya igogo mwanza you will see it by ur yourself. Watanzania hatupaswi kurumbana tunapaswa kuelimishana
Watu wa kishika hizo nafasi wapo tatizo ni sera ya ajira tu, humu ndani hakuna wahasibu, procurers na engineers kuanzia umeme mpaka processing, . . . . .
Training kulingana na mashine na teknolojia tu ndio kinatakiwa ambayo hata hao wageni wanaenda kila mara lakini kisema hakuna skilled wazawa ni uongo kabisa. . . .,Acheni porojo na kukatisha watu tamaa
tatzo la kuongea ukiwa lumumba ni hili...hebu nenda
rhino cement tanga
lake cement-kimbij
rhino cement mkuranga
mtibwa sugar
kagera sugar
ukitoka huko uje uongee tena huu upuuzi wako!!
i think umeishia la 7 b wewe
I think you are calling others names that you don't even qualify to be! How can you say emphasizing on education is foolishness? Do you know why the developed nations keep on developing while we poor nations are stagnant and even moving backward? The answer is education. An industry that was built in 1990, even if is working today, still cannot not compete with new industries built in 2015 or in recent years. Technology is advancing very fast and this creates a high demand for elite people. So, Tanzania needs educated people if we want to establish new industries using modern technologies. And if that is foolishness to you then you don't even qualify to be a fool!