Lowasa ana vision, maamuzi, ufuatiliaji na ni mzuri kutoa maelekezo kuliko Magufuri, Magufuri si kiongozi bali ni mtendaji.
Suala la kutoa elimu bure kama anavyosema Lowasa linawezekana kabisa. Libya iliweza kutoa elimu, huduma za afya nzuri, huduma za bima na nyinginezo bure kwa miaka mingi kwa ajili ya mafuta tu waliyokuwa nayo. Kwanini Tanzania ishindwe wakati ina gesi, mafuta, dhahabu, almasi, Tanzanite na mbuga za wanyama?. Kinachokosekana katika Tanzania ni Uongozi bora pamoja na mfumo sahihi. Lowasa ni kiongozi bora wala si bora kiongozi, na Chadema wana mfumo mzuri si kama wa CCM. Lowasa ndani ya Chadema ataleta mabadiliko chanya kwa Tanzania na kwa faida ya Watanzania wote.
Lowasa ana qualities za uongozi. Watanzania tusifanye makosa 25th October 2015. Chagua Lowasa, chagua mabadiliko ya kuelekea kwenye maendeleo tuliyonyimwa na CCM kwa miaka 50 iliyopita.
Ndugu Msolwa, kwanza ukweli ni kuwa mtu ambaye kawa waziri na PM, hatuwezi kusema hana vision, lakini nataka kukufahamisha ya kuwa hiyo issue ya elimu bure sio issue mbaya lakini lazima iangaliwe vizuri, kwani linaweza kutuharibia elimu ya watoto wetu, na kama halikuwekwa vizuri basi tutapa two different categories of Education:
Leo huku Uingereza kuna matatizo ya elimu, utaona watoto wanosoma private schools wanapata elimu bora kuliko wale wanaosomea public schools, which affects their admissions to the best Universities.
Ndugu Msolwa, Huwezi Fananisha na Tanzania, Kwanza Libya lina idadi ya watu 6,244174, Tanzania Approx:50,000,000,
Libya has the 10th largest Oil Reserves on earth, Tanzania bado hatuja gundua Oil na hatutoi Mafuta, na ndio kwanza mikakati ya kutoa Gesi inafanywa huenda ikachukua miaka mitano ijayo (Export Quantity).
GDP ya Libya ni $70 Billion, ukilinganisha na idadi ya wananchi wao kila mmoja wao anawezakupata $11210/- kwa mwaka. Infact Gadafi alistahili kuwapatia wananchi wake maendeleo zaidi ya hayo. Gadafi na wanae wamechukua mabillion of Dollars na kuziweka USWIS, hivi leo hizo pesa ni Frozen na zinawajenga waswiss.
Ukipata Fursa naomba umuulize huyo Mgombea Uraisi wako, 1974 alikuwa hana hata kibanda, na miaka yote hiyo alikuwa mfanyi kazi wa serekali, |Jee alipataje shares 15% za Vodacom, majumba ya Gorofa, Ranchi za serekali , Ng'ombe zaidi ya 20,000, Ardhi kibao za ufugaji na kilimo. Na pia mwanae akiwa na umri wa miaka 21 alishakuwa millionier ten kwa $ za kimarekani na sio millionier wa shillingi zetu.
For your Information, Rafiki yake na mshiriki wake kwenye biashara ROSTOM, amenunua vila PALM JUMEIRA - DUBAI AMBAYO ILIMGHARIMU $5,500,000/- MILLIONS NI SAWA NA BILLION 14 ZA TANZANIA.
Jee huo ndio Uongozi wa Quality wa Lowasa, Kutuibia mali zetu?