Sasa wewe si unalo traco la asili?Shida hata uufanyie nini mwili kila kipindi huwa kina wakati wake ukipita hata ufanyaje haurudi ndio yaliyo mkuta wema. Mobeto hata mtoto wa kwanza alitoa mafuta tumboni. Kiukweli mimi sionagi big deal na makalio sijui vile ni mwanamke
Lakini hao mademu wenu wa mjini ilala, wanafata machine huku bunju kila siku.. 🙂🙂🙂Hafu Holy Man na wewe unasema unakaa mjini.
Ilala tu ndio mjini, huko Bunju hauna tofauti na waliopo Msolwa.
Duu hujisahau kama kuna kuchoka na kuzeeka, ila watu wanadanga na watu wazito jamani ila kodi zetu zinatumika [emoji848]Ukiwa na malengo ila most ya wadangaji hufa maskini kweli kweli
Kwasababu namfahamu kindakindaki[emoji23][emoji23][emoji23] mbona una mtetea hivo huyo askofu jamani
Hakuna work ethics wala hakuna professional actors au actresses. Kupata line tu unatoa kitu au mjuane.Kwenye makambi haya wanayo kaaga kwa ajili ya kuandaa movie au filamu wanapigana miti sana.
Wana permanent positions maisha yao yako securedDah sasa nyuzi hizi wakipitia wake zao inakuwaje wakuu،si mtawaharibia aisee
Nazungumzia ndoa mkuuWana permanent positions maisha yao yako secured
Wajibu wa kuwa mke wa kiongozi ni uwezo wa kuhimili minong’ono na kuweka tabasamu kwenye kadamnasi.Nazungumzia ndoa mkuu
Dah hatari mkuu.Wajibu wa kuwa mke wa kiongozi ni uwezo wa kuhimili minong’ono na kuweka tabasamu kwenye kadamnasi.
Hizi bundle tunazotumia humu ndiyo zinanunulis ma V8 yanayowapeleka saloon.Dah hatari mkuu.
Bora msiyaseme humu wakuu kwa sababu hayana faida yoyote kwa jamii.
Ni maoni yangu lakini wakuu
Bongo movie wana angalia uzuri, sura,makalio nk na kwa wanaume mashombe shombe, walamba lips kibao.Hakuna work ethics wala hakuna professional actors au actresses. Kupata line tu unatoa kitu au mjuane.
[emoji23][emoji23][emoji23]siuonagi umuhimu wake tofauti na wanawake kujihangaisha kuongeza aiseeSasa wewe si unalo traco la asili?
Wamepewa uzuri ila akili hamna na wanazoongwa ndo Kodi zetu hzoDuu hujisahau kama kuna kuchoka na kuzeeka, ila watu wanadanga na watu wazito jamani ila kodi zetu zinatumika [emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Una mjuaje mtu dip hivo maana Hilo swala hata mkewe hamjui in deep oooohKwasababu namfahamu kindakindaki
Nacheka lakini naogopaHizi bundle tunazotumia humu ndiyo zinanunulis ma V8 yanayowapeleka saloon.
Bongo movie wana angalia uzuri, sura,makalio nk na kwa wanaume mashombe shombe, walamba lips kibao.Nilichoka siku moja na tizama mziki Maisha Magic Bongo nikaona trailer, mpaka Nicole Joyberry nae muigizaji 😀😀, yaani bongo movies siku hizi talents hawa angalii kabisa.
| Born | Lupita Amondi Nyong'o[1] 1 March 1983 (age 38) Mexico City, Mexico |
|---|---|
| Citizenship |
|
| Alma mater | Hampshire College (BA) Yale University (MFA) |
| Occupation | Actress |
| Years active | 2005–present |
| Parent(s) |
|
| Relatives |
|
| Awards | Full list |
Ha ha ha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa una vituko,kwamba mke wa kiongozi,hata kama Mme wake ni mwingi wa habari,ni marufuku,kununa!Wajibu wa kuwa mke wa kiongozi ni uwezo wa kuhimili minong’ono na kuweka tabasamu kwenye kadamnasi.
Ni moja ya sababu za mume mstaafu kumpa kipigo mpaka akabadilika sura, alikua analala nje siku mbili mke wa mtu na bwana mdogo akijiangalis uwezo wa kushindana na in box hana.Huyo katelephone Hadi kwa shishi beibe kashapita naye huyo in short sio uwoya tu hata bongo movie wengine
Wolpa sasa nae hana lolote hivi unajua alivoenda kujifungua Agha Khan alichangiwa bills za operation? Anaishi maisha ya drama Sanaa!na Hata zile show off ana bwana ake anamhonga yule rich mitindo unaambiwa sio kivile pesa!Hata mimi nafikiri hivo pia kwa Wolper na yule Ben 10 wake!