Sukuma gal
Member
- Apr 13, 2021
- 30
- 32
Asante nimesoma na nimeelewa lakini uyo Clement alkuw waziri?,mbunge au?Wema Sepetu Ashtushwa Na Madai Kuwa Kajala Anatembea Na Clement
MAKUBWA! Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu Madam ameshtushwa na habari zilizoshika kasi mithili ya moto wa kifuu kuwa eti shosti wake, Kajala Masanja anatembea na Clement aliyemwagwa na staa huyo hivi karibuni. Kuhusu ishu hiyo, Wema alifunguka mwishoni mwa wiki iliyopita: Nampenda sana...www.jamiiforums.com
Asante nimesoma na nimeelewa lakini uyo Clement alkuw waziri?,mbunge au?
Hao unawajua wewe kiprotokal huku mtaani,wataje top 3 wako!mtoe spika sijui na cj hatuwajui kwanza!Top 3 kwa serikali ila kwa nchi siyo.
Nchi = Raisi>vice>Speaker> Cj>pm
Baasi ndo huyooo!!!!
Mmh!kumbeee!mji mdogo huu bwana laaaaZamani alikua anatoka na mama ntilie wakati akiwa mke wa makenika.
Ameenda kuongeza na amevuta mashavu mtazame vzr Uwoya kachange mbona USO umekua mrefu na lips kabadiliSo hizo ni lips fake?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nimecheka kushindana na maiko jaksoni kaahhh....!!!mbona wadada ndo habari ya mjini sasa hivi surgery kuna mmoja anataka kwenda akienda tu ntajua!Wema baada ya kuanza kupotea akaenda kukata utumbo Matokeo yake daimond kamwacha nyota kufifia.
Uwoya lijua hizo lips zake ni wanja kumbe kaongeza duh. Uwoya asije fanya sura kuwa ka michael jackson akishindana na wakati
Fala sana huyo, ataharibika kama wema sasaAmeenda kuongeza na amevuta mashavu mtazame vzr Uwoya kachange mbona USO umekua mrefu na lips kabadili
Nilikosea ni Wema sio Uwoya..acha kabisaaa...mastar zero brain!hawajielewi hawajui haki zaoWema ana majuto sana moyoni, na huyo anatumikaje bila kulipwa Hawa master wetu ni shida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]daaaah!!nna umbea naogopa jamani ngoja aje warumiWatu wanarithisha watoto pesa, magari, elimu, viwanja na nyumba, Kajala kamrithisha mtoto mboo za mjini, hatari sana
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]kumbe aliumwaga!!duhTunda kadanga baada ya kupona kuumwa maradhi ya ajabu naona akasema azae tu ngoja sasa huyo mtoto akue whozu ataachwa mchana arudi kudanga
[emoji52][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hongera na umbea shurti uumize kichwa maana na miye navoambiwaga wee yaani mtu ananong'ona mpk baas na hua anakua makiniii yaani huu umbea niliupata kwa taabu!!km ushamjua baasi we endelea kula ubuyu!!Daah nimepata shida kuelewa uyu wa inbox hatimaye nimeelewa sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hujui kufungua Code?? Sms za JF zinaitwaje kwa kiingereza?? Ndiyo cheo cha huyo Mwamba! Sasa leta zakuleta,utaishia segedansiKwahiyo hamumtaji danga wake?
Mmh mbea gharama nimetoka kapa mkuuMkuu hujui kufungua Code?? Sms za JF zinaitwaje kwa kiingereza?? Ndiyo cheo cha huyo Mwamba! Sasa leta zakuleta,utaishia segedansi
[emoji3][emoji3][emoji3]usinambie humjuii!au hukua mjini kipindi hiko au ulikua bado shule wasoma!CK jamani alivotesa na Wema mpk anakodiwa private jet anaenda kula bats Arusha.Jamni uyu Ck ndo Nani mnatuacha njia pnda wenzenu[emoji25][emoji23]
Ha ha ha!Huyo si ana shift mabwana kulingangana na dau. Yeye yoyote tu twende. Huyo wa in-box za jf bas yuko vizuri ana wanawake wengi kweri kweri in Magus voice
Duuh shiiisheZamani alikua anatoka na mama ntilie wakati akiwa mke wa makenika.
[emoji3][emoji23][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]tupunguziane tu hakuna namnaaMwe hao virus tunagawana tu ki roho safi.
[emoji3][emoji16][emoji16]nacheka kama mazuri, wanafanya surgery mbona!Fala sana huyo, ataharibika kama wema sasa anaenda upande kama mbwa mzazi