cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Buhigwe naye ana yake na kupenda vimwana mkuuKwa Buhigwe unadanganya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buhigwe naye ana yake na kupenda vimwana mkuuKwa Buhigwe unadanganya
Duh ilikuwaje itakuwa gundu la kina wema hilo si bureHata CK wa wema naye akaja kufulia mpaka akaanza kuuza chips.
Njeki kamwaga sana mabeberu pale,sasa unadhani atakosa??Aliumwa nusu kufa akakonda na kupata mapele na madonda mwili mzima nusura afe ndo akapona akaona azae mrithi
Si alifungwa gerezani huyu jamaa! Au alitoka???Hata CK wa wema naye akaja kufulia mpaka akaanza kuuza chips.
Hatari sana mjini aisee.Njeki kamwaga sana mabeberu pale,sasa unadhani atakosa??
Kwani kuna umeme Tundani?Whozu ana roho ngumu akaingia kavu kavu
Wewe husomi comments, viral load iliketa madonda mwili mzima.Kwani kuna umeme Tundani?
DuuhWewe husomi comments, viral load iliketa madonda mwili mzima.
Ni ile Tza kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]eti mbususu inasoma plate A kabisa loh.
Yaani ukiona dada mrembo nikiongozi,ogopa sana! Leo kama umesoma huko IG wameanza kuvuana nguo kuhusu vyeo vyao vya kupeana huko! Mwenezi mstaafu na msanii wa maigizo wamefumuana huko hatari[emoji23][emoji23][emoji23]eti mbususu inasoma plate A kabisa loh.
Mwenezi mstaafu alikula shangazi wa bongo movie kwa ahadi ya kumpa viti maalum.Yaani ukiona dada mrembo nikiongozi,ogopa sana! Leo kama umesoma huko IG wameanza kuvuana nguo kuhusu vyeo vyao vya kupeana huko! Mwenezi mstaafu na msanii wa maigizo wamefumuana huko hatari
Codes za wambea wa jf jmn, shangazi wa bongo movie??Mwenezi mstaafu alikula mbususu ya shangazi wa bongo movie kwa ahadi ya kumpa viti maalum.
Ha ha ha ha! Hatari mno! Mwenezi sasa anavuliwa nguo!Mwenezi mstaafu alikula mbususu ya shangazi wa bongo movie kwa ahadi ya kumpa viti maalum.
Huyu amekaa kama askofu jmn?Buhigwe naye ana yake na kupenda vimwana mkuu
Mmh ndiyo walaji wazuri wa nyama haoHuyu amekaa kama askofu jmn?
Huyo mzee Steve ana siri nyingi za wasaniiYaani ukiona dada mrembo nikiongozi,ogopa sana! Leo kama umesoma huko IG wameanza kuvuana nguo kuhusu vyeo vyao vya kupeana huko! Mwenezi mstaafu na msanii wa maigizo wamefumuana huko hatari
Watamchuna hadi ngoziHa ha ha ha! Hatari mno! Mwenezi sasa anavuliwa nguo!
Hao ndo hua watafunaji wazuri! Kwa kimombo wanaitwa silent killer!! Kwani katele4n kuna mtu angedhani kama anamwaga mabeberu kwa Irene??Huyu amekaa kama askofu jmn?
Sana! Na nadhani kuna watu wanene wapo nyuma yake,maana sio kwa kuporomosha maneno vileHuyo mzee Steve ana siri nyingi za wasanii
Unajua vita vya 25 vimeanza, so kambi zinaanza kurushiana makombora..tutasikia mengi mnoSana! Na nadhani kuna watu wanene wapo nyuma yake,maana sio kwa kuporomosha maneno vile