Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Jamii Forum raha sana,we jamaa unajua kutembea na Code, sijawahi ona eti Mzee wa Ndombolo!Mnooo!halafu ujue alitemwa kisa kuliwa na mzee wa ndombolo....!!!
ukiona mama ntilie mkali mwenye mzigo, nishtue nimpangie masakiHahahahahah atleast inaleta heshima
Hahahah haina noma usikae mbali na simu yakoukiona mama ntilie mkali mwenye mzigo, nishtue nimpangie masaki
Hahahhaa....!!kaka ngoja sasaa nilete umbea ambao mtashaaa!ngoja nichaji simu niwape za prais breakerNa ukiangalia maduka yake hayana wateja kivile sasa unashangaa eti ni bilionea loh
Kaka unaupenda umbea, tangu jana sidhani kama hata umewasha TV kumsikia bi mdashi akiongea na Salim Kikeke.Hahahah haina noma usikae mbali na simu yako
Matusi ya nini katika uzi wa umbea?
Na toka maza ashike usukani wameanza kupata kiburi sana wanajiachia mnooo!!!yaani ile ile kimtindo!Hatari Sana mkuu wanajificha kwenye kuuza nguo na iPhone now days kumbe NGADA
Maduka yote yale ya nguo pale studio na kule sinza utakaa nje pale masaa hutoona mtu akiingia mpaka unajiuliza hawa wanalipaje kodi? Watu wengi wananuanua kariakoo huko,nani aende maduka ya sinza kiatu cha 55,000 utaambiwa 120,000.Na ukiangalia maduka yake hayana wateja kivile sasa unashangaa eti ni bilionea loh
Hahaha!hakuna jipya chini ya jua litakalosemwaa!!Kaka unaupenda umbea, tangu jana sidhani kama hata umewasha TV kumsikia bi mdashi akiongea na Salim Kikeke.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nimecheka kifalaaa!daaahhh!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] we maku kweli yaan unatuchamba afuu unauliza[emoji848]
[emoji849][emoji849][emoji849]sanaa tu naskia alikua anaulizaga kama mweupe au vipi akiletewa wachuchu....km mweupe tu yaani hooiiii!!!Stone alikua anapenda sana wasux wenzake! Wife wake,boss lady wa hotel na mwingine Sundi!
Kibakuli nae motooo wa chinichini yule balaa...mzee akaona hapana mambo yasiwe mengi!akamtema ndo akaja kwa Mara DC,Mara maflower mpk kuja kumeet na Mama wawili!akamgandaa mpk ndoaKiba 100 kumbe ndio alikuwa anajimimina nae maskini dah!
Ashafeli mbonaa[emoji52][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!Hili spy kuweni makini
Ni kweli there is something beyond what we knowMaduka yote yale ya nguo pale studio na kule sinza utakaa nje pale masaa hutoona mtu akiingia mpaka unajiuliza hawa wanalipaje kodi? Watu wengi wananuanua kariakoo huko,nani aende maduka ya sinza kiatu cha 55,000 utaambiwa 120,000.
Ananisaidia nini cha maana mkuu? Anajua nimekulaje na nimeweka vipi bundle katika hii simu yangu mkuu?Kaka unaupenda umbea, tangu jana sidhani kama hata umewasha TV kumsikia bi mdashi akiongea na Salim Kikeke.
Ulete huo umbeya jana nimechelewa kulala kisa huu Uzi.Shoo price breaker hivi mwajua mambo zake?!!!!Hahahhaa....!!kaka ngoja sasaa nilete umbea ambao mtashaaa!ngoja nichaji simu niwape za prais breaker
Ha ha ha anazingua daah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nimecheka kifalaaa!daaahhh!!!