cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
[emoji23][emoji23][emoji23]Anatumia hela yake kusafisha nyota na rungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Anatumia hela yake kusafisha nyota na rungu.
Kipo ila kimechakachuliwa sana naunga mkono hoja.We unadhani hiko kimelea hakipo .
Watu wanajua Hadi file number za baadhi yao Kyle ile hospital iliyoko mwananyamaza wakienda pokea karanga
Na kijana anatafta umaarufu vizur ili jezKijana ana date kufata masilahi huyo Jojo ndo alimpa connection ya uvccm so no real love hapo ni kutumiwa kwa mrembo
Si unaona sasKijana ana date kufata masilahi huyo Jojo ndo alimpa connection ya uvccm so no real love hapo ni kutumiwa kwa mrembo
Ngoja tusubir baada ya showWamitulinga ni promo ya the icon show yao
Wanawake wanawake kisa hela huchanganyikiwaSi unaona sas
Yani na Jojo akauvaa mkenge kweli zao la bongo movie wanatumika Bila kujiongezaNa kijana anatafta umaarufu vizur ili jez
Za Simba zije kuuzika vizur awe ametengeneza
Jina huko insta kawalipa machawa
Wake wengi wampromote nlishangaa
Kuona Hadi diva anampigia Debe yani
Kupga Tu pic na Ile kofia tayar nYani na Jojo akauvaa mkenge kweli zao la bongo movie wanatumika Bila kujiongeza
Wanamfamyia bure matangazo kwa kudaganywa na swala la mahusiano Yale Yale ya wema kutoka na diamond akiwa hajulikami katumika na diamond sasa hivi kapotea hana mbele wala nyumaKupga Tu pic na Ile kofia tayar n
Umaarufu tosha kwa brand
Na hua hawajifunz Kwa wenzao yaniWanamfamyia bure matangazo kwa kudaganywa na swala la mahusiano Yale Yale ya wema kutoka na diamond akiwa hajulikami katumika na diamond sasa hivi kapotea hana mbele wala nyuma
Ujue mastar wetu empty set na wame lack exposure ya mambo na wanashindwa kutumia umaarufu wao kuwa matajiri wategemea kudanga tu. Shilole yeye kazi yake kuwasaidia vibenten kupata umaarufu vikishajulikana vinaanza usumbufu. Zari baada ya kupata umaarufu tzi alipata madili makubwa kuliko mastaa wetuNa hua hawajifunz Kwa wenzao yani
Hawaon hata kwa shilole vijana
Wanaenda kutafta jina wakishalipata
Wanakimbia mfano Yule fundi garage
Kwa sasa ameshakuza jina anazunguka Tu na
Familiar ya domo na katoka kupitia shishi
Na angeendelea kukaa hapa madili yoteUjue mastar wetu empty set na wame lack exposure ya mambo na wanashindwa kutumia umaarufu wao kuwa matajiri wategemea kudanga tu. Shilole yeye kazi yake kuwasaidia vibenten kupata umaarufu vikishajulikana vinaanza usumbufu. Zari baada ya kupata umaarufu tzi alipata madili makubwa kuliko mastaa wetu
Mastaa wetu empty set kabisa zari alikuwa ana date kwa target diamond asingegudutuka angemliza tuNa angeendelea kukaa hapa madili yote
Yangeenda kwake zai mwanamke na nusu
Yule sio Kama hawa wadangaj wa bongo
Movie
Ttzo la domo anapenda sifaMastaa wetu empty set kabisa zari alikuwa ana date kwa target diamond asingegudutuka angemliza tu
Lakin simlaumu jaman chini si mnasemaga panawasha asa angefanyajeYani na Jojo akauvaa mkenge kweli zao la bongo movie wanatumika Bila kujiongeza
Exposure matters alot...mastaa wetu wengi ukiacha exposure wengi shule hamna...asa ni kampuni gan itampa dili mtu anajiita shishi trump? Watu ngeli zinawashinda kila uchwao maskendo ya hovyo umalaya malaya tu...hovyo sana hawaUjue mastar wetu empty set na wame lack exposure ya mambo na wanashindwa kutumia umaarufu wao kuwa matajiri wategemea kudanga tu. Shilole yeye kazi yake kuwasaidia vibenten kupata umaarufu vikishajulikana vinaanza usumbufu. Zari baada ya kupata umaarufu tzi alipata madili makubwa kuliko mastaa wetu
Kwaio hakojoi wala hanyi syo?...[emoji1][emoji1] (natania)Wanamfamyia bure matangazo kwa kudaganywa na swala la mahusiano Yale Yale ya wema kutoka na diamond akiwa hajulikami katumika na diamond sasa hivi kapotea hana mbele wala nyuma
Kajala anaenda kuwa bibi, duh time fliesBora ajizalie zake mtoto kwa kweli
Et ni kweli bibie uyu yupo kwenye grid ya taifa?We muache anaolewa na...!!wadada bwana kufia ndoa!