Lucky Dube Mwanamuziki Bora wa muda wote wa Reggae

Lucky Dube Mwanamuziki Bora wa muda wote wa Reggae

Ni ngumu kuja kutokea mwana muziki bora na mahiri kama huyu hapa Afrika na duniani kwa ujumla, alijua kukonga nyoyo za wale walio mashabiki zake na kwa wale wasio mashabiki zake wote walivutiwa na tungo zake.

Aliifanya dunia kuwa kitu kimoja kupitia vibao vyake vikali vya Different colors, One people na Together as one.

Hakika huyu alikuwa mwamba wa reggae.
zitaishi kizazi mpaka kizazi nina album yake ko nikipata mda huwa nakaa nakula zangu ngoma
 
Dube alikuja na style za Peter Tosh na kila kitu, ikitokea leo kuna show ya Dube side A na Bob side B, basi hata huyo Dube ataacha show yake na kwenda kwa Marley, Raggae ni Marley na Marley ni Raggae na kuna king 1 tu.
 
Dube alikuja na style za Peter Tosh na kila kitu, ikitokea leo kuna show ya Dube side A na Bob side B, basi hata huyo Dube ataacha show yake na kwenda kwa Marley, Raggae ni Marley na Marley ni Raggae na kuna king 1 tu.
Exactly [emoji817]
 
Fun fact: Lucky dube hakuwahi kuvuta bangi, sigara wala kunywa pombe maishani mwake...

Kwa jinsi alivokua anaimba kwa hisia, obvious alipitia maisha magumu sana au strugles. Kuna community ya marasta wachache hawavuti bangi, majority wanasema ni sehemu ya dini yao.
 
Lucky Philip Dube maarufu kama “Lucky Dube” mzaliwa wa Mpulanga Afrika kusini.

Huyu ni miongoni mwa wanamuziki ninao wahusudu na kuwapa heshima kubwa hapa barani Afrika na duniani kwa ujumla.

Hakika huyu mwamba ali utendea kazi iliyo bora muziki hasa katika muziki wa reggae alio onesha ustadi wa hali ya juu sana katika kuuimba.

Huyu mtaalamu aliimba vibao vingi sana vya kuvutia hadhira vilivyo jaa jumbe nzito kwa dunia.

Hivi hapa miongoni mwa vibao vikubwa sana vya mtaalamu lucky dube vilivyo tikisa na vinavyo endelea kutisa bara zima la Afrika na dunia kwa ujumla miaka nenda miaka rudi :-
i, Slave
ii, I've got you babe
iii, Reggae strong
iv, House of exile
v, Fugitive
Vii, Respect
viii, Think about the children
ix, War and crime
X, Born to suffer
xi, Hold on
xii, Victims
xiii, Crazy world
xiv, Don't cry
xv, Different colors, One people
xvi, Remember me
xvii, The way it is
xviii, Back to my roots
xix, Together as one
xx, It's not easy

Hakika huyu mwamba lucky dube ni mfalme wa muziki wa reggae hapa duniani, alifanya kilicho bora katika muziki wa reggae wakati wa uhai wake.
View attachment 2448797View attachment 2448798

:- Mdau nawe unaweza ongeza vibao vyako vikali unavyo vikubali kutoka kwa huyu mtaalamu wa reggae music karibu.
Hold on
Think about the children
Group areas act
Usizi
 
Dube hakuwa mfalme wa Reggae, ila alikuwa mwanamuziki mzuri sana wa reggae kuliko wote Africa. Hakuwazidi magwiji wa UB40, Gregory Issacs, Robert Marley, Peter Tosh, Jimmy Cliff, Burning Spear na wengineo waanzilishi wa reggae wenyewe. labda useme Raggae ya Luck dube ndiyo uliyowahi kusikia tu, hujawahi kusikia reggae ya wasanii wengine.









 
Fun fact: Lucky dube hakuwahi kuvuta bangi, sigara wala kunywa pombe maishani mwake...

Kwa jinsi alivokua anaimba kwa hisia, obvious alipitia maisha magumu sana au strugles. Kuna community ya marasta wachache hawavuti bangi, majority wanasema ni sehemu ya dini yao.
Mama yake alipata tabu sana kupata mimba ya lucky.
 
Nimeshangaa sana umeshindwa kutambua ni watu gani wameufikisha mziki wa rege hapa ulipo huwezi kuzungumzia rege bila kumtaja Bob marley na ndio anastahili hiyo sifa uliyomvika Lucky Dube
Kwangu mimi navutiwa zaidi na ustadi wa Lucky lakini sipingi uwezo na umahiri wa Robert na mchango wake katika kukuza muziki wa reggae duniani.wote waimbaji wa reggae wana stahili hiyo heshima.
 
Back
Top Bottom