Lucky Dube Mwanamuziki Bora wa muda wote wa Reggae

Lucky Dube Mwanamuziki Bora wa muda wote wa Reggae

Well kwenye moja ya interview aliulizwa , how did you get the name " lucky dude " he replied " well lucky is my first like the name James and dube is my last name like is in the name handsane.

he continued that her mother did not get a baby for a long time then he finally got him . And after like three months her mother got very sick and she died after that there was a very long break and when he was like 3 years old he also got very sick.

he said everyone thought he was also going to die but he didn't . So everyone said a boy is so lucky, he didn't have a name untill he was 6 years old . So that is how he got the name lucky dube .

Hivyo ukiangalia maisha mbaka hapo unaweza pata picha jinsi kwanini lucky dube yupo vile alivvyo .
Hakika
 
Wajamaika wa wapi? Dube anaimba aina gani ya reggae? Unacho taka kusema it's like Harmonize anaimba Mapiano kuliko wasanii wa wasouth AfricaL
Luck dube anaimba reggae roots kama ilivyokuwa kwa bob Marley, Joseph hill ( culture ) Peter Toshi na wangine wengi. Raggae root ni (genre) yaani tanzu ya mziki ambao maudhui yake ni ukombozi wa Africa. Wenyewe huita " gospel of redemption'' mziki huu umeanzia Jamaica lakini umetapakaa sehemu kubwa ya Africa especially south Africa, ivory Coast, Ethiopia na hata Tanzania.

Vibao kama ,together as one, victim, teach the world, gun and rose ni raggae roots. Raggae roots imeanzia Jamaica lakini luck dube alionesha uwezo wa ajabu kwenye hii genre.
 
Weka hizo chati hapa tuone, usituletee stori za vijiweni.
Charts nyingi zimejaq bias kama tulivyo mimi na wewe. Ukitaka kupata data unaweza kuzitafuta mwenyewe na hata wewe unaweza kutengeneza list yako mwenyewe.
 
Luck dube anaimba reggae roots kama ilivyokuwa kwa bob Marley, Joseph hill ( culture ) Peter Toshi na wangine wengi. Raggae root ni (genre) yaani tanzu ya mziki ambao maudhui yake ni ukombozi wa Africa. Wenyewe huita " gospel of redemption'' mziki huu umeanzia Jamaica lakini umetapakaa sehemu kubwa ya Africa especially south Africa, ivory Coast, Ethiopia na hata Tanzania.

Vibao kama ,together as one, victim, teach the world, gun and rose ni raggae roots. Raggae roots imeanzia Jamaica lakini luck dube alionesha uwezo wa ajabu kwenye hii genre.
Sio kweli. Reggae ni genre kama zilivyo nyingine. Humo ndani kuna sub genres kadhaa ikiwamo roots. Hayo mambo ya ukombozi wa Afrika ni theme tu ambayo inaweza kuwa kwenye genre/sub genre yeyote ya muziki. Ni upotoshaji kudai kwamba roots reggae ilianzishwa kwa ajili ya ukombozi wa Afrika.

By the way Lucky hakuwa anaimba roots reggae, ali-fuse reggae na South African local music kama Kwera n.k
 
Sio kweli. Reggae ni genre kama zilivyo nyingine. Humo ndani kuna sub genres kadhaa ikiwamo roots. Hayo mambo ya ukombozi wa Afrika ni theme tu ambayo inaweza kuwa kwenye genre/sub genre yeyote ya muziki. Ni upotoshaji kudai kwamba roots reggae ilianzishwa kwa ajili ya ukombozi wa Afrika.

By the way Lucky hakuwa anaimba roots reggae, ali-fuse reggae na South African local music kama Kwera n.k
Unachosema nikweli raggae roots ni subgenre licha ya kuwa baadhi ya machapisho yanabainisha kuwa raggae roots was a music genre of itself. Hapa tutaona raggae fusion ambayo luck dube anaungukia humo kutokana mwanzo alikuwa anaimba zulu pop music ( mbaganga). Mgogoro unakuja kuwa mziki wa dube ulikosa diasporic cultural base hawezi kupewa the same status with other raggae roots artist kama Peter Tosh, bob na wengineo.

Unaweza kupata confidense kuwa dube belongs to raggae roots kutokana na political message, social gossips na alivyoweza kupromote racial equality kwenye nyimbo zake. Am ready to be corrected with any point of departure.
 
Unachosema nikweli raggae roots ni subgenre licha ya kuwa baadhi ya machapisho yanabainisha kuwa raggae roots was a music genre of itself. Hapa tutaona raggae fusion ambayo luck dube anaungukia humo kutokana mwanzo alikuwa anaimba zulu pop music ( mbaganga). Mgogoro unakuja kuwa mziki wa dube ulikosa diasporic cultural base hawezi kupewa the same status with other raggae roots artist kama Peter Tosh, bob na wengineo.

Unaweza kupata confidense kuwa dube belongs to raggae roots kutokana na political message, social gossips na alivyoweza kupromote racial equality kwenye nyimbo zake. Am ready to be corrected with any point of departure.
Upo sahihi ni Lucky Dube alikua anaimba Reggae iliyo customized kama vile Bongo Flava ya zamani walivyo iga midundo ya US wakaongeza ladha ya kiafrika
 
Mimi namuweka Dube kwenye list ya wanamuziki mahiri wa reggae lakini siwezi kumuita mfalme wa reggae........
 
Bahati mbaya mimi sio mwandishi mzuri lakini nikipata mda nita andika japo kwa ufupi

Mimi namuweka Dube kwenye list ya wanamuziki mahiri wa reggae lakini siwezi kumuita mfalme wa reggae........
Unaweza kumuita ( a wizard of music ) sauti yake ya kupanda na kushuka, uwezo wa kuimba sauti ya kwanza sikiliza '' oh my son, energetic performance, uwezo wa kuimba na kucheza.
 
Lucky dube ni mzuri kwenye nyimbo za kuabudu na kwaya msimfananishe na Bob
 
Mimi Sio mpenzi wa wa reggae but vibao vya reggae navyopenda sana ni hivi 1:Bob three little birds
2:Burning Spear Christopher Colombo
3😀ube kiss No Frog
4: Kalikawe Roho ya korosho
5:Alfa Brond why black leader die so soon
 
Back
Top Bottom