St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
Hakika bia tamuuuu.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mlinzi anakosa anatakiwa kuchukuliwa hatua piaAmesema wakati akiendelea na tendo hilo mlinzi wa machinjio hiyo alikuwa ametoka kidogo na aliporejea alimkuta kijana huyo akiendelea kufanya kitendo hicho ambapo alimkamata na kumpigia simu balozi na mtendaji wa kijiji ambao walifika katika eneo hilo la tukio.
Kumbe nguruwe nao wanatulia na kusema niangusage tu ni sambi sakoKwani nguruwe mwenyewe amelalamika?
Duh!!! Kitambo sanaHii Ni chai jaba[emoji1787]View attachment 2012234
BaridiLudewa ya Kenya eti maana ndio zao
Afro Nyigu- Nyigu la Kiafrika hudunga popote halichagui.Mkazi wa kijiji cha Mavanga kilichopo katika kata ya Mavanga wilayani Ludewa mkoani Njombe anayefahamika kwa jina la Afro Nyigu (31) anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma ya kumbaka mnyama aina ya Nguruwe.
Afisa mtendaji wa kijiji hicho Ramadhani Kihanga amesema kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia November 14 2021 ambapo mtuhumiwa huyo alifika katika machinjio ya wanyama hao huku akiwa amelewa na kukuta nguruwe akiwa amefungwa kamba kwa maandalizi ya kuchinjwa ndipo kijana huyo alimvamia na kufanya nae mapenzi.
Amesema wakati akiendelea na tendo hilo mlinzi wa machinjio hiyo alikuwa ametoka kidogo na aliporejea alimkuta kijana huyo akiendelea kufanya kitendo hicho ambapo alimkamata na kumpigia simu balozi na mtendaji wa kijiji ambao walifika katika eneo hilo la tukio.
Amesema kuwa walipomuhoji kijana huyo sababu za kufanya kitendo hicho alidai ni maamuzi yake binafsi hivyo hapaswi kuulizwa ambapo viongozi hao wakamchukua na kumkabidhi mikononi mwa polisi.
“Kitendo alichokifanya huyu kijana mwenzetu ni cha kusikitisha sana! Tunaomba sheria ichukue mkondo wake ili iwe fundisho kwa wengine maana kama ameweza kufanya hivi kwa mnyama anaweza kufanya uharibifu hata kwa binadamu”,amesema Kihanga.
Akizungumza kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Njombe Hamiss Issa na mtandao huu amesema ni kweli tukio hilo lipo na kwa sasa Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi wa tukio hilo na mtuhumiwa amehifadhiwa katika kituo cha Polisi.
©Malunde blog
mhhAfro Nyigu- Nyigu la Kiafrika hudunga popote halichagui.
Kumbe nguruwe nao wanatulia na kusema niangusage tu ni sambi sako
Ongeza sauti, ila umeyataka mwenyeweHapa sijasex since 2015 .sijapata mwanaume yaani.
Matumizi mabaya ya uume
Anyongwe
Huyo wamfunge maana ni hatari kwa watoto mitaani, ila kawapa jibu konki sanaHapa sijasex since 2015 .sijapata mwanaume yaani.
Matumizi mabaya ya uume
Anyongwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]aiseekenya ndio kawaida yao.
Pamoja na kuwa punda ana uke mkubwa unaopenda miguu ya watoto lakini kuna mwamba amewahi kumbaka hadi akafa.
Na hii ndo iwe mwanzo na mwisho kusema uongo mkavu kama huu hapa jukwaani.Hapa sijasex since 2015 .sijapata mwanaume yaani.
Matumizi mabaya ya uume
Anyongwe
Alimvamia na kufanya naye mapenzi?Hivi hadi kufanya mapenzi unajua taratibu zake?Walikubaliana?😂😂😂😂Mkazi wa kijiji cha Mavanga kilichopo katika kata ya Mavanga wilayani Ludewa mkoani Njombe anayefahamika kwa jina la Afro Nyigu (31) anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma ya kumbaka mnyama aina ya Nguruwe.
Afisa mtendaji wa kijiji hicho Ramadhani Kihanga amesema kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia November 14 2021 ambapo mtuhumiwa huyo alifika katika machinjio ya wanyama hao huku akiwa amelewa na kukuta nguruwe akiwa amefungwa kamba kwa maandalizi ya kuchinjwa ndipo kijana huyo alimvamia na kufanya nae mapenzi.
Amesema wakati akiendelea na tendo hilo mlinzi wa machinjio hiyo alikuwa ametoka kidogo na aliporejea alimkuta kijana huyo akiendelea kufanya kitendo hicho ambapo alimkamata na kumpigia simu balozi na mtendaji wa kijiji ambao walifika katika eneo hilo la tukio.
Amesema kuwa walipomuhoji kijana huyo sababu za kufanya kitendo hicho alidai ni maamuzi yake binafsi hivyo hapaswi kuulizwa ambapo viongozi hao wakamchukua na kumkabidhi mikononi mwa polisi.
“Kitendo alichokifanya huyu kijana mwenzetu ni cha kusikitisha sana! Tunaomba sheria ichukue mkondo wake ili iwe fundisho kwa wengine maana kama ameweza kufanya hivi kwa mnyama anaweza kufanya uharibifu hata kwa binadamu”,amesema Kihanga.
Akizungumza kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Njombe Hamiss Issa na mtandao huu amesema ni kweli tukio hilo lipo na kwa sasa Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi wa tukio hilo na mtuhumiwa amehifadhiwa katika kituo cha Polisi.
©Malunde blog
Mmmmh since 2015?aisee HONGERA...Hapa sijasex since 2015 .sijapata mwanaume yaani.
Matumizi mabaya ya uume
Anyongwe
Jf huwezi boreka aisee,you made my day Miss NatafutaHapa sijasex since 2015 .sijapata mwanaume yaani.
Matumizi mabaya ya uume
Anyongwe