Ludewa: Kijana mbaroni kwa tuhuma za kumbaka nguruwe

Hata mlinzi anakosa anatakiwa kuchukuliwa hatua pia
 
Afro Nyigu- Nyigu la Kiafrika hudunga popote halichagui.
 
Kumbe nguruwe nao wanatulia na kusema niangusage tu ni sambi sako

Kuna jamaa alisema humu yeye alikua anamla ng’ombe wao,yule ng’ombe akazoea mpk akawa akimuona tu msela ng’ombe anajisogeza mwenyewe karibu na jiwe jamaa alilokua analitumia kupanda ili afikie tamuuu ya ng’ombe ili kazi iendelee.
 
Alimvamia na kufanya naye mapenzi?Hivi hadi kufanya mapenzi unajua taratibu zake?Walikubaliana?😂😂😂😂
 
Mkazi wa Kijiji cha Mavanga kilichopo Kata ya Mavanga wilayani Ludewa mkoani Njombe, anayefahamika kwa jina la Afro Nyigu (31) anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma ya kumbaka mnyama aina ya Nguruwe.

 
Mwenyekiti wa chaputa mkoa husika anapaswa kutoa maelezo ya kutosha. Inakuaje mpaka mtu anabaka kitimoto na mikono anayo?? Anashindwa vipi kushawishi mtu kama huyu kujiunga chaputa ili kuepuka fedheha kama hizi kwa wanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…