Naona maneno yako yanaonyesha wazi kabisa kwamba wewe ni mbaguzi wa rangi kama makaburu.Asili ya kiswahili ni kibantu mwsho wa mjadala....kama hio picha kwenye ID yako ni wewe haina haja tuendelee kukubishia ndo akili zenu ninyi zilivo
kuna watu wabaguzi kama waarabu..? ..mbona nyie wabaguzi wa kidini...! na ni bora huishi na mbaguz wa rangi sio mbaguz wa diniNaona maneno yako yanaonyesha wazi kabisa kwamba wewe ni mbaguzi wa rangi kama makaburu.
Sikulaumu labda elimu hii bado haijakufikia (pia nadhani unajua kwamba Kiswahili kilianzia kwa Waislamu wa pwani mpaka leo Waislamu wa Pwani Kiswahili ndio lugha yao ya kwanza), wewe si ajabu umeanza kujua kuongea Kiswahili shuleni tu (Wabara wengi wakianza kusoma shule za msingi, Kiswahili chao ni zero, nakumbuka kuna kijana mmoja wa Kisukuma alipo anza darasa la kwanza alikuwa hajui kabisa kiswahili, alijifunza kuongea Kiswahili shuleni).
Waeritrea wanazungumza lugha tisa ila lugha kuu ni Tigrinya na sio Amharic, Amharic ni lugha kuu ndani ya Ethiopia.Hizi takwimu zina walakini; labda kama kuna vigezo ambavyo havijatajwa hapa vimetumika kuandaa takwimu hizi. Mfano, Amharic ni lugha kuu inayotumiwa katika Ethiopia, Eriteria na majirani wachache wa maeneo hayo. Iweje iwe na watumiaji 25m tu wakati Ethiopia kama nchi ina watu wasiopungua 80m?
Ndio, neno Swahili limetokana na neno ساحل (pwani) Wenye kuzijua lugha hizi mbili (Kiswahili na Kiarabu) wanajua haya.
Wapi nimekukataza usiamini kitabu chako?Wewe sasa unataka kutoka nje ya mada, wewe huna haki ya kunikataza nisiamini kitabu changu kitukufu kinacho sema kwamba Adam ni Binadamu wa kwanza kuumbwa na Mwenyezi Mungu (kisha akaumbwa hawa). Kama wewe hauna dini kaa na ukafiri wako usiingilie imani yangu (Mimi naamini Adam na hawa walikuwepo, sisi Binadamu wote ni kizazi chao, full stop).
Unaweza kunukuu nilipoandika?Rudia post yako (kumbe haujui hata unaloandika ni nini).
kuna watu wabaguzi kama waarabu..? ..mbona nyie wabaguzi wa kidini...! na ni bora huishi na mbaguz wa rangi sio mbaguz wa dini
Nenda kakae udanganye wanao na ndugu zako waarabu kua kiswahili asili yake ni kiarabu sio sie ngozi nyeusi tunaokijua fika
Pia hicho kisukuma ndo asili ya kiswahili maana ndo kibantu sasa
Nshakwambia kiswahili ni kibantu....na kibantu kilikuepo ata kabla ya wageni kuja pwani ya nchi hii....kadanganye waarabu wenzioAcha upaguzi wee, sisi hapa tunaongelea kuhusu lugha sio kuhusu rangi ya mt, upaguzi unatembea kwenye damu yako, najua unaona wivu kwa ajili ya ubaguzi wako wa rangi na dini.
Nadhani unajua kwamba Kiswahili kilianzia kwa Waislamu wa pwani mpaka leo Waislamu wa Pwani Kiswahili ndio lugha yao ya kwanza, wewe si ajabu umeanza kujua kuongea Kiswahili shuleni tu (Wabara wengi wakianza kusoma shule za msingi, Kiswahili chao ni zero, nakumbuka kuna kijana mmoja wa Kisukuma alipo anza darasa la kwanza alikuwa hajui kabisa kiswahili, alijifunza kuongea Kiswahili shuleni). Kama sio Waislamu (Warabu) usinge jua Kalamu, kitabu, daftari, karatasi, darasa, mwalimu (yote haya ni maneno ya Kiarabu).
Hahahaha halafu unajua wewe upeo wako wa kufikiri ni mdogo sana...nisingejua eti kalamu,vitabu,daftar na huo ujinga mwingne ulioandika....kwaio unafikiri ivo vitu visingekua na majina mpaka leo....? Tabia ya lugha yoyote dunian ni kutojitosheleza lazima ikope maneno kwenye lugha zingne na hii ni kwa lugha almost lugha zote..ebu nitajie sifa kuu 5 za lugha kwanza usijekua hujui kitu wewe..Ok lugha ya kingereza imejaa maneno ya kilatin kwaio utasema hapo kingereza ni kilatin....panua uwezo wa kufikir weweAcha upaguzi wee, sisi hapa tunaongelea kuhusu lugha sio kuhusu rangi ya mt, upaguzi unatembea kwenye damu yako, najua unaona wivu kwa ajili ya ubaguzi wako wa rangi na dini.
Nadhani unajua kwamba Kiswahili kilianzia kwa Waislamu wa pwani mpaka leo Waislamu wa Pwani Kiswahili ndio lugha yao ya kwanza, wewe si ajabu umeanza kujua kuongea Kiswahili shuleni tu (Wabara wengi wakianza kusoma shule za msingi, Kiswahili chao ni zero, nakumbuka kuna kijana mmoja wa Kisukuma alipo anza darasa la kwanza alikuwa hajui kabisa kiswahili, alijifunza kuongea Kiswahili shuleni). Kama sio Waislamu (Warabu) usinge jua Kalamu, kitabu, daftari, karatasi, darasa, mwalimu (yote haya ni maneno ya Kiarabu).
1) Kaa na ujinga wako (mtu kama wewe uko tayari kubisha chochote unacho ona ni dhidi yako hata ukweli utampinga tu)Nshakwambia kiswahili ni kibantu....na kibantu kilikuepo ata kabla ya wageni kuja pwani ya nchi hii....kadanganye waarabu wenzio
Hakuna mtanzania muongo na mjinga kama wewe1) Kaa na ujinga wako (mtu kama wewe uko tayari kubisha chochote unacho ona ni dhidi yako hata kama ni kweli)
2) Mimi ni Mtanzania (hiyo profile isikutishe).
Ama kweli akili ni mali, naona sasa umekubali kwamba kuna maneno mengi ya Kiarabu kwenye lugha ya Kiswahili (kwa nini kwanza ulikuwa ukibisha?) kumbe unajua?Hahahaha halafu unajua wewe upeo wako wa kufikiri ni mdogo sana...nisingejua eti kalamu,vitabu,daftar na huo ujinga mwingne ulioandika....kwaio unafikiri ivo vitu visingekua na majina mpaka leo....? Tabia ya lugha yoyote dunian ni kutojitosheleza lazima ikope maneno kwenye lugha zingne na hii ni kwa lugha almost lugha zote..ebu nitajie sifa kuu 5 za lugha kwanza usijekua hujui kitu wewe..Ok lugha ya kingereza imejaa maneno ya kilatin kwaio utasema hapo kingereza ni kilatin....panua uwezo wa kufikir wewe
Rudia kusoma posts zangu zote, hakuna hata post moja nimeandika Kwamba Kiswahili ni Kiarabu, hapana sijaandika hivyo (nimeandika kwamba kwenye lugha ya Kiswahili kuna maneno mengi ya Kiarabu takriban 60%).Nakuambia ulete ushahidi wa kikamusi kutoka katika lugha ya Kiarabu yenye neno Kiswahili unaleta blah blah. Mimi hata sikutaka hilo neno lako swahili maana hata mwalimu wangu wa Kiswahili hakuwahi kufika darasani halafu akaandika ubaoni Swahili. Futa kauli yako kwamba Kiswahili ni Kiarabu. Fahamu Mwafrika akiitwa Peter huwezi ukasema tayari ni Mzungu vivyo hivyo akiitwa Mahmood huwezi ukasema tayari ni Mwarabu. Hata lugha ya wabantu ilipopewa jina na Waarabu Swahil huwezi ukasema eti tayari lugha hii ni ya Waarabu.
Kwanza kama vipi tungelifuta kabisa hili neno la Kiarabu Kiswahili tuite Kibantu ili tuwakate ngebe hawa Waarabu koko.
Wewe mama yake na mwehuNaona ujinga umekuharibu akili yako mwehu wee.
Kumbe haujui unachoandika? Pole sana.Unaweza kunukuu nilipoandika?
Unapoandika "rudia post yako" katika thread ambayo nina post nyingi unajionyesha usivyo na umakini na ulivyojaa uvivu.
Naweza kuandika "therapist" halafu wewe ukasoma "the rapist".
Nukuu nilipoandika halafu tuchambue neno kwa neno.
Unaweza kufikiri sijui nilichoandika ni nini kwa sababu tu wewe mwenyewe hujui kusoma.
Hakuna mtu mbaguzi kama nyieMwehu mwenye chuki na ubaguzi lofa wee.