Baada ya kukamatwa sasa si ndio ilikuwa starting point ya nyie wafuasi kuandamana? Hivi mlitaka Lisu aongee lugha gani ili muelewe kama anataka muende barabarani?
Ni hivi, wanachi waliwapuuza.
Any way, mwambie sasa mbaya wake hayupo arudi sasa aje achukue urais
Exactly.Sana sana alikuwa na kiburi cha madaraka.
Alikuwa anawaambia kuwa yeye ni jiwe sasa na wao walivyomisukule wakawa wanadhani ni special specie.Tuwasamehe bure kwani hawakujua waliyekuwa wanampambani ni binadamu kama wao.
Amualo Mwenyezi Mungu halipingiki popote
Kutoka sayari nyingine.Tuwasamehe bure kwani hawakujua waliyekuwa wanampambani ni binadamu kama wao.
Amualo Mwenyezi Mungu halipingiki popote
nyie mnapimaje kukubalika kwenu!!
maana kama ni watu kwenye mikutano wanajaa hata ccm pia,achana na zile story za kusomba na maroli.
[emoji23][emoji23]huu ujinga siku moja utaudharau.Wanaoenda upinzani wanaenda kwa ridhaa yao, wengi wa wanaoenda kwenye mikutano ya ccm ni kwa shuruti na hadaa. Hao kubebwa kwenye malori tunaona kwa macho yetu.
😆😆😆 Maisha yanabadilika haraka sana !Mbona mnateseka sana?
JPM aliwagaragaza akiwa hai, na atawagaragaza akiwa marehemu!
Fikiria mpaka sasa hivi hakuna la maana mnalofanya zaidi ya kupambana na marehemu!
2025 itafika bado mnapambana na marehemu, sasa hivi mmechukua nafasi ya uvccm sasa mnasifu na kuabudu kwa ajili ya Samia wa ccm [emoji23][emoji23][emoji23]
Tuko hapa, tutakuja kukumbushana ikifika oktoba 2025, kwa akili zenu mnaona kama mbali!
Ni kama kipindi cha Magufuli tulikuwa tunawashauri badala ya kupoteza muda kujadili kingereza cha Magufuli huo muda mngeutumia kudai uhuru wa zile taasisi mnazosemaga zinawanyima kura.
Sasa mnarudia ujinga ule ule, badala ya mumuendee mama kwa utaratibu nyie mko busy kupambana na marehemu!
Aliewaroga ana dhambi sana!
siku ukija kujua ccm ni zaidi ya chama cha siasa utaenda kulima tu.
mbowe ni ccm pia.
Non of your business wakati ndio mwenye chama[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana nasema kila siku, ccm sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilochovaa koti la chama cha siasa. Acha Mbowe kuwa ccm, hata mke wake akiwa Ccm is none of our business.
non of your business wakati ndio mwenye chama[emoji23][emoji23][emoji23]
wewe!!!!
Nyinyi ndio wenye ushawishi, mmeshindwa hata kumchallenge aachie uenyekiti!!!! Mna ushawishi wa kitu gani hapo??Ni kweli ndio mwenye chama, lakini sio ndio wenye ushawishi. Bila sisi hicho chama chake kitakuwa kama cha Lyatonga au Cheyo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Eti kuongea na Mungu,Kila jambo lina wakati wake, hayo ya maandamano iko siku yatakuja tu, cha muhimu hiyo mbegu ya kuandamana imeshatangazwa. Uzuri sisi waandamanaji tunaongea na Mungu na tukamuomba ampeleke ibilisi motoni. Lisu atarudi kwa muda wake, na Urais akitaka atagombea kimpango wake.
Hata Lisu alipokuwa kwa amsterdam ubelgji alikuwa na nawazo kama haya, alipofika field akaishia kusingizia kwamba anataka kutekwa.Wanaoenda upinzani wanaenda kwa ridhaa yao, wengi wa wanaoenda kwenye mikutano ya ccm ni kwa shuruti na hadaa. Hao kubebwa kwenye malori tunaona kwa macho yetu.
Msemo wa kuishi Kama mashetani umewarudi, chezea mungu, leo kelele zao kwisha, kila wakitazama upepo haupo upande wao, muda ni MWALIMU mzuri Sana mkuuMuda unaenda kasi sana ! Wale wapambe wa kusifia kulikozidi kuabudu na misamiati yao ya kishamba naona sasa wanapukutika utadhani mbelewele za Mtama wa Kongwa .
Eti Tunampambania , anatupambania ! Too low ! Hivi mtu anayetekeleza majukumu yake na analipwa pesa ndefu na nyingine anabeba na kugawa barabarani huyo anakupambania nini ? hivi mtakuwa watu duni hadi lini wanafiki nyie ! bora mmetoweka wenyewe , mlikuwa mnatia aibu sana !
View attachment 1783006View attachment 1783012
Ninyi kina nani?Ni kweli ndio mwenye chama, lakini sio ndio wenye ushawishi. Bila sisi hicho chama chake kitakuwa kama cha Lyatonga au Cheyo.
Mataga wote wamekimbia umebaki wewe tu , hongera !Hata Lisu alipokuwa kwa amsterdam ubelgji alikuwa na nawazo kama haya, alipofika field akaishia kusingizia kwamba anataka kutekwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kina nani sasa hao? Hebu wataje angalau wawili tuone jinsi wanavyotesekaMsemo wa kuishi Kama mashetani umewarudi,chezea mungu,leo kelele zao kwisha,kila wakitazama upepo haupo upande wao, mda ni MWALIM mzuri Sana mkuu
Nitajie mataga kwa majina yao na kwanini wakimbieMataga wote wamekimbia umebaki wewe tu , hongera !
soma post #2Nitajie mataga kwa majina yao na kwanini wakimbie