Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #61
Tuliwaonya kwamba hakujawahi kuwepo eneo lolote duniani ambalo SHETANI AMEWAHI KUMSHINDA MUNGU, lakini mkabisha, sasa moto umewawakia, Mamluki nyie!Hatarii Sana, tulionya kitambo Sana, Kitendo cha shujaa kuimaliza kazi yake ya hapa duniani na kwenda huko Kwa njia ambayo kila mmoja ataipitia, hili jukwaa tusipoangalia litakosa hoja za maana kipindi kirefu Sana,
Kipindi chake, kila alilokuwa akilisema lilionekana ni kama geni masikioni mwa wengi hasa wapinzani wake, na ndio Maana kulikuwa kunazaliwa mijadara kibao, na Kwa sasa kumebakia mijadara ya kijinga tu kama Uzi huu, si ni upumbavu tu wala hakuna hoja yoyote
Kilichobaki Kwa wandishi wengi ni zile dhihaka zisizosaidia chochote!
Japo mkuu wangu nakuheshimu ila wenda huu mmoja wao, ndo ivyo kunywa maji mengi kila siku kusaidia moyo usipanukeKina nani sasa hao? Hebu wataje angalau wawili tuone jinsi wanavyoteseka
Muda unaenda kasi sana! Wale wapambe wa kusifia kulikozidi kuabudu na misamiati yao ya kishamba naona sasa wanapukutika utadhani mbelewele za Mtama wa Kongwa.
Eti Tunampambania, anatupambania! Too low! Hivi mtu anayetekeleza majukumu yake na analipwa pesa ndefu na nyingine anabeba na kugawa barabarani huyo anakupambania nini? hivi mtakuwa watu duni hadi lini wanafiki nyie! bora mmetoweka wenyewe , mlikuwa mnatia aibu sana!
Pole sana!soma post #2
😆😆😆Japo mkuu wangu nakueshim ila wenda hu mmoja wao ,ndo ivyo kunywa maji mengi kila siku kusaidia moyo usipanuke
Ha Ha HaZilikuwa lugha rasmi za yule propesa almaarufu kutokea jalalani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa kipi sasa?Japo mkuu wangu nakueshim ila wenda hu mmoja wao ,ndo ivyo kunywa maji mengi kila siku kusaidia moyo usipanuke
Wasamehe mkuu,Hatarii Sana, tulionya kitambo Sana, Kitendo cha shujaa kuimaliza kazi yake ya hapa duniani na kwenda huko Kwa njia ambayo kila mmoja ataipitia, hili jukwaa tusipoangalia litakosa hoja za maana kipindi kirefu Sana,
Kipindi chake, kila alilokuwa akilisema lilionekana ni kama geni masikioni mwa wengi hasa wapinzani wake, na ndio Maana kulikuwa kunazaliwa mijadara kibao, na Kwa sasa kumebakia mijadara ya kijinga tu kama Uzi huu, si ni upumbavu tu wala hakuna hoja yoyote
Kilichobaki Kwa wandishi wengi ni zile dhihaka zisizosaidia chochote!
Elewa somo wewe kuwa akiwa mwanaccm anakuwa out of our business.non of your business wakati ndio mwenye chama[emoji23][emoji23][emoji23]
wewe!!!!
Akiwa mwanaccmElewa somo wewe kuwa akiwa mwanaccm anakuwa out of our business.
Narudia tena, huna hoja Kwa sasa, zaidi Sana hoja zenu ni zile dhihaka zisizo badirisha chochoteTuliwaonya kwamba Hakujawahi kuwepo eneo lolote duniani ambalo SHETANI AMEWAHI KUMSHINDA MUNGU , lakini mkabisha , sasa moto umewawakia ,Mamluki nyie !
Fulsa za kuabudu,kusifu, kuumiza chadema ili mpate teuzi hakuna,zimeenda na MWENDAZAKE ,aliopo ni ccm ni kitu kimoja na MWENDAZAKE ila Sio sawasawa na MWENDAZAKE mwafaa,mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa kipi sasa?
Ccm tuko madarakani kupitia rais wetu Mama Samia,
Na mifumo ya kuwagaragaza chadema ni ileile,
Niambie sasa natakiwa kunywa maji kwa lipi?
Ukiwa kama nani?Tutapukutisha masalia yake yote kudadeki !
Utafahamu tuUkiwa kama nani?
😀😀 Mpaka maji mtaita mma, maana mama anawachoma I/m benzathine pale pale anawapa morphine kuwapunguzia maumivuWasamehe mkuu,
Hawa akili huwa zinawarudi kila oktoba ya mwaka wa uchaguzi.
Kwa sasa wako kipindi cha mpito
Kwani sasa hivi wanaccm wamekatazwa kusifu? Je chadema sasa haiumii? Je, wana ccm sasa hawateuliwi?Fulsa za kuabudu,kusifu, kuumiza chadema ili mpate teuzi hakuna,zimeenda na MWENDAZAKE ,aliopo ni ccm ni kitu kimoja na MWENDAZAKE ila Sio sawasawa na MWENDAZAKE mwafaa,mkuu
Unaambiwa sasa hivi hata tukichelewa kurudi nyumbani usiku hatupigiwi simu kuulizwa kama tumetekwa, umeelewa nini?Narudia tena, huna hoja Kwa sasa, zaidi Sana hoja zenu ni zile dhihaka zisizo badirisha chochote
Mama ametuchomaje sasa? Hivi unaweza kuchoma au kukata tawi ulilolikalia?[emoji3][emoji3] Mpaka maji mtaita mma, maana mama anawachoma I/m benzathine pale pale anawapa morphine kuwapunguzia maumivu
Mungu ni fundi stadi haswaNaona bado unaendelea kupambana na mzimu wa Mwenda zake.
Mkuu Yani unavyolalamika nimecheka sana,Kwani sasa hivi wanaccm wamekatazwa kusifu? Je chadema sasa haiumii? Je, wana ccm sasa hawateuliwi?
Niambie sasa twafaa kwa sababu ipi ikiwa hayo hapo juu bado yanaendelea?
Au wewe unafikiri ukiandika kipropaganda namna hii ndio Rais wetu Samia atawafukuza ccm wote na kuwaita chadema?
Kwanza niambie kilichofanya msishiriki uchaguzi mdogo kule kigoma ni kipi wakati huyo mbaya wenu kafa?