Luhaga Mpina aenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC)

Ni kama mtu yule yule aliesema Lowasa fisadi ndio huyo huyo akaja na kusema Lowasa safii, tumpeleke ikulu.

Alafu anataka tumuamini.

Ni takataka kabisa
 
Ccm kumeja mashetani watupu,hata huyo Mpina naye ni shetani tu...Mpina enzi za Magoo fool alikuwa ni kiranja Mkuu sasa mambo yamebadilika anapaswa kutulia kwa kuwa shetani hana undugu wa kudumu na kiumbe chochote!

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Ccm kumeja mashetani watupu,hata huyo Mpina naye ni shetani tu...Mpina enzi za Magoo fool alikuwa ni kiranja Mkuu sasa mambo yamebadilika anapaswa kutulia kwa kuwa shetani hana undugu wa kudumu na kiumbe chochote!

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Ccm kumeja mashetani watupu,hata huyo Mpina naye ni shetani tu...Mpina enzi za Magoo fool alikuwa ni kiranja Mkuu sasa mambo yamebadilika anapaswa kutulia kwa kuwa shetani hana undugu wa kudumu na kiumbe chochote!

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Ni kama mtu yule yule aliesema Lowasa fisadi ndio huyo huyo akaja na kusema Lowasa safii, tumpeleke ikulu.

Alafu anataka tumuamini.

Ni takataka kabisa
Hahahaha alafu yule mliyemuita mpinga ufisadi pamoja na Polepole wakaenda mpokea Lowassa pale Lumumba!!

Wapinzani waligundua kosa ndio maana mamluki wote wa CCM kuanzia nyalandu, mwambie, sumaye, walikatwa kwenye chaguzi
 
Hahahaha alafu yule mliyemuita mpinga ufisadi pamoja na Polepole wakaenda mpokea Lowassa pale Lumumba!!

Wapinzani waligundua kosa ndio maana mamluki wote wa CCM kuanzia nyalandu, mwambie, sumaye, walikatwa kwenye chaguzi
Hawakukatwa sababu ya kutoka CCM, walikatwa sababu walikuwa ni masamaki makubwa yaliyogoma kufanya NDIYO MZEE, yakataka kupambana na mwenyekiti wa MILELE wa chama,WAZIRI MKUU MSTAAFU huwezi kumpelekesha unavyotaka wewe kama unavyompelekesha MNYIKA!!!!!
 
Awamu ya 5 ilituletea viongozi na uongozi bora sana na ikatuletea wanafiki pia , Mfano wa viongozi bora ni D.Biteko, Mabeyo, Majaliwa Kasimu! Wa hovyo/wanafiki ndiyo hawa akina Luhaga, Kaijage, Makonda na wenzao ambao walipewa vyeo sababu ya ukanda, uzuri washatolewa kwenye network, kwa sasa wanasubiriwa wahamie chama kilee
 
Hili jicho mnalowatazamia wengine, mkitazamwa nalo nyie mnaona mnaonewa, unataka kusema kuna kundi la malaika kwenye siasa zetu ambalo halijawahi kukosea linalostahili kuwa linasema lenyewe tu kila siku, acheni huu ushabiki wa kilevi.

Hoja lazima ijibiwe kwa hoja, sio kuleta story za miti.
 
Naona hamjifunzi tu waTanzania Kila siku mnageuzwa kama chapati kesho Tena mnaanza kulia.
Mtu alikua bungeni tokea 2020 hakusema tudai trillion 360, hakuongelea deni LA taifa, hakupinga matumizi nje ya bajeti.

Ila eti mbunge huyo huyo baada ya kuona JPM kafa ndio anaanza ndio anagundua hatukulipwa trillion 360!! Ndio eti anagundua mikopo haifai..... Huuuh unafiki wa CCM tumeuchoka, kama wewe unataka kuendelea kuchezewa akili then uko peke Yako lakini majority hatutaki huu ujing Tena.

Akipewa uwaziri nitakutag hapa jinsi atakavyokana hizi kauli zake maybe ndio macho Yako yatafunguka uelewe nachosema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…