Luhaga Mpina amlipua Waziri Makamba, amtuhumu kwa Uhujumu Uchumi. Atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua

Luhaga Mpina amlipua Waziri Makamba, amtuhumu kwa Uhujumu Uchumi. Atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua

Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa amesema Rais Samia alitaka mawaziri wamsaidie katika kujibu hoja za wananchi, hata hivyo jambo hilo halionekani sana kwa sasa, ambapo amesema mawaziri wapo kimya katika kujibu hoja za wananchi.

Mpina amesema wapo mawaziri hawajibu hoja za wananchi au huwa wanajibu kwa hoja nyepesi malalamiko ya raia, hali ambayo ameitaja kuwa sio kumsaidia Rais kama inavyotarajiwa.

Ametoa mfano wa waziri wa Nishati alivyojibu kuhusu ucheleweshwaji wa mradi wa bwawa la Mwl Nyerere ambapo Waziri wa Nishati alianza kulaumu kuwa Wabunge hawakutaka yeye awe waziri badala ya kujibu hoja iliyokuwa mezani.

Waziri ametolea mfano suala la kufuta tozo ya Tsh. 100 katika mafuta bila kufuata utaratibu. Ambapo amesema maamuzi ya waziri kufuta tozo hiyo amekutaja ni sawa na uhujumu wa mapato ya Serikali kwa kuwa fedha ya tozo hiyo ilikuwa katika bajeti ya Serikali ya mwaka 2021/22.

Kwa kushindwa kufuata taratibu za kuondoa tozo, Luhaga Mpina amesema Waziri wa Nishati amekuwa amefanya kosa la Uhujumu Uchumi. Na ameshindwa kutafuta kukielewa chanzo cha upandaji wa bei za mafuta nchini.

Kufuta tozo ya Tsh. 100 bila kufanya tathmini kumeipotezea Serikali Tsh. Bilioni 30. Hivyo, hakuwa na nia njema, achukuliwe hatua, atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua. Amesema suala la kumchukulia hatua sio jambo la hiari, ni kwa mujibu wa sheria.

Mambo mengine aliyoyataja katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari ametaja kuwa Waziri Makamba ameshindwa kujibu kuhusu bei za mafuta na mfumuko wa bei.
Wivu unamsumbua na ukabila tu. Kila siku makamba makamba wakati was shetani wao walisumbua sana
 
Watu wanataka umeme, kama hakuna umeme utashambuliwa tu hii siyo nchi ya mama yako
Wewe MATAGA tulia! Muache Mama na wasaidizi wake waupige mwingi. Muda wa mapambio na kutishana tishana haupo tena. Na kama huridhiki, basi hamia kwa ndugu zako Wahutu wa Burundi.

Nchi sasa iko mikononi mwa watoto wa mjini. Nyinyi Washamba na malimbukeni, rudini Kijijini mkalime na kuchunga ng'ombe. Na baada ya mavuno, pelekeni mazao yenu mjini mkawauzie wenye nchi, ili wale na kusaza.
 
Hoja za Mpina zina mantiki
Ila wajinga kama nyinyi ndio mnataka kutibua mjadala..
KIla kitu lazima ukihusishe na marehemu Magufuli!
Ndo ujue kuwa hawa watu hawana mantiki yeyote ile zaidi ya kujawa na ujinga tu!

Mradi wa Stiglers ucheleweshaji ulianza tangu wakati wa Kalemani! Kila siku ikawa sound tu alafu leo lawama anapewa makamba

Bei ya mafuta duniani kote imepanda saaa kwa nini lawama apewe Makamba?
 
Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa amesema Rais Samia alitaka mawaziri wamsaidie katika kujibu hoja za wananchi, hata hivyo jambo hilo halionekani sana kwa sasa, ambapo amesema mawaziri wapo kimya katika kujibu hoja za wananchi.

Mpina amesema wapo mawaziri hawajibu hoja za wananchi au huwa wanajibu kwa hoja nyepesi malalamiko ya raia, hali ambayo ameitaja kuwa sio kumsaidia Rais kama inavyotarajiwa.

Ametoa mfano wa waziri wa Nishati alivyojibu kuhusu ucheleweshwaji wa mradi wa bwawa la Mwl Nyerere ambapo Waziri wa Nishati alianza kulaumu kuwa Wabunge hawakutaka yeye awe waziri badala ya kujibu hoja iliyokuwa mezani.

Waziri ametolea mfano suala la kufuta tozo ya Tsh. 100 katika mafuta bila kufuata utaratibu. Ambapo amesema maamuzi ya waziri kufuta tozo hiyo amekutaja ni sawa na uhujumu wa mapato ya Serikali kwa kuwa fedha ya tozo hiyo ilikuwa katika bajeti ya Serikali ya mwaka 2021/22.

Kwa kushindwa kufuata taratibu za kuondoa tozo, Luhaga Mpina amesema Waziri wa Nishati amekuwa amefanya kosa la Uhujumu Uchumi. Na ameshindwa kutafuta kukielewa chanzo cha upandaji wa bei za mafuta nchini.

Kufuta tozo ya Tsh. 100 bila kufanya tathmini kumeipotezea Serikali Tsh. Bilioni 30. Hivyo, hakuwa na nia njema, achukuliwe hatua, atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua. Amesema suala la kumchukulia hatua sio jambo la hiari, ni kwa mujibu wa sheria.

Mambo mengine aliyoyataja katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari ametaja kuwa Waziri Makamba ameshindwa kujibu kuhusu bei za mafuta na mfumuko wa bei.
Kwa hiyo aliyesema sababu ni Vita ya Ukraine ndo ana hoja konki?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Wewe MATAGA tulia! Muache Mama na wasaidizi wake waupige mwingi. Muda wa mapambio na kutishana tishana haupo tena. Na kama huridhiki, basi hamia kwa ndugu zako Wahutu wa Burundi.

Nchi sasa iko mikononi mwa watoto wa mjini. Nyinyi Washamba na malimbukeni, rudini Kijijini mkalime na kuchunga ng'ombe. Na baada ya mavuno, pelekeni mazao yenu mjini mkawauzie wenye nchi, ili wale na kusaza.
Kwa hiyo wewe ndo mjanja? Huyo Mpina anakuzidi kila kitu na ukoo wako wote. Ujanja sio kuvuka rami ni kutafuta fursa na kuiona ndo maana wengi wenye mafanikio mjini ni watu wa kuja.
 
Kumbukeni awamu ya 4 mpango kazi wao ulikuwa ni 'gas' ndio maana ule mchezo mchafu ukachezwa tena bungeni!
Kumbukeni walioleta wale wazungu wapo na wapo ktk level kubwa ya system iliyopo madarakani.
Kumbukeni ni wakubwa sana na tayari wameanza na ununuzi wa makampuni makubwa ya.........................
pilipili kichaa mtu wa ajabu sana. Unatumia fake name, bado unaandika kwa mafumbo taarifa yako. Huna sababu ya kuwa JF
 
Watoto wengi wa viongozi wameandaliwa kuwa watawala ndio maana wanashindwa katika mengi.
 
Makamba kawekwa hapo ili aharibikiwe Mtoto mwingine apande

Wana mtandao ni kama genge la Mafia wanashirikiana sana kumtokomeza adui lakin wakishashangilia ushindi wanamtafuta miongoni mwao wanampa kijiti cha uadui nae anaanza kupigwa vita…mwisho wa vita moja ni mwanzo wa vita nyingine

Lowassa, Mzee Sitta, Rostam, Mzee Ulimwengu na Shamsi Vuai Nahodha have something to comment
 
Ndo hapo sasa! Wanatuona watanzania wote wajinga Kama walivyo wao!

Wamejawa na ujinga tu!

20220406144218_1.jpg


20220406144218_0.jpg
 
Hawajui kulinda goli

Refa aliwabeba akawapa goli wakaanza kumzodoa Refa na Benchi la Ufundi wakawaachia wacheze fair play matokeo yake wakajifunga
Wasukuma ndio wengi nchi hii na ndio wapiga kura wengi au nasema uongo ndg zanguuuuuuuuuuuuu?[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Makamba kawekwa hapo ili aharibikiwe Mtoto mwingine apande

Wana mtandao ni kama genge la Mafia wanashirikiana sana kumtokomeza adui lakin wakishashangilia ushindi wanamtafuta miongoni mwao wanampa kijiti cha uadui nae anaanza kupigwa vita…mwisho wa vita moja no mwanzo wa vita nyingine

Lowassa, Mzee Sitta, Rostam, Mzee Ulimwengu na Shamsi Vuai Nahodha have something to comment
This is fallacy!
Hakuna kitu kama icho!

Luhaga Mpina na Joseph Msukuma ajenda zao zinajulikana!

Utakuwa mgeni wa siasa za Tanzania kama hulijui hili
 
Ukabila kwa lipi? Kwa hiyo unataka watu wote wawe wapiga mapambio?
Wasukuma ni wabinafsi na wakabila sana. Hii miaka sita miradi na pesa yote ilipelekwa Kanda ya ziwa. Pumbafu sana, wanahangaika Bure.
 
Back
Top Bottom