UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Acha utani, naona hauko serious. Chama hakijui hata kutunza ofisi yake ya makao makuu ndicho tukipe dhamana ya kuongoza nchi? That's a joke bwasheeCHADEMA+
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utani, naona hauko serious. Chama hakijui hata kutunza ofisi yake ya makao makuu ndicho tukipe dhamana ya kuongoza nchi? That's a joke bwasheeCHADEMA+
Chini ya huyu Mama uporaji umetamalaki halafu tunaopigwa ni sisi tunaokatwa tozo na kodi.
Mpina anapambana na tumbo lake, unatakiwa awekewe ulinzi wa aina gani. Mafisadi? Hivi yule mshamba anajua hata maana ya ufisadi? Ndiyo shida ya kuwaingiza washamba na vichaa serikalini. Luhaga Mpina hana calibre ya kuwa waziri, ni vichaa walijiweka madarakani
SawaLeo Imhotep umereflect uhalisia wa mwenye jina, akili imekaa sawa
Hatar sn !Bila shaka .
Hoja hujibiwa kwa hoja ! Au nasema uongo ndugu zangu ?!!!Ni vizuri ukazikabili na kuzijajili hoja zake. Toka lini kusema ukweli juu ya uozo wa awamu hii ikawa sawa na kuidhalilisha serikali? Fikiri tena!
Nimlinde kwani nina interest pale. Mmesema amepora, kama serikali siwachukue Mali iliyoporwa.Sasa si kamlindeni badala ya kuja kutupigia kelele.
Upeo wake ni mdogo saana huyo jamaaKwahiyo ukiwa na Ekari 1000 huruhusiwi kukemea wizi wa mabilioni!!?
Bana makario, ripoti ya CAG inakwenda kujadiliwa bungeni
Learn;Zile ekari 1000 za ardhi alizopora kule Morogoro ameshazirudisha?
Yule ni msukuma..amezindikwa vizuri. Hawezi kuwaogopa hawa makajanja kina mwiguluWatu waliojiapiza maisha yao, kufa au kupona, kuuwa ama kuuwawa, ni mafisadi!
Ikiwa kweli mnamaanisha kupambana na watu hao hatari, anapotokea mtu mmoja kujitoa mhanga kuwataja hadharani watu hatari kama how, Sisi ambao tuko nyuma ya vita hiyo, jambo moja tu tunapaswa kufanya,
Ni kumuunga mkono mtu huyo na kuhakikisha maisha yake yako salama!
Mpina awekewe ulinzi, la sivyo tutakuwa tumekubali kwamba, pesa zinazokuwa zikiibwa na mafisadi, kwa upande mmoja na sisi tu wamoja wao!
Mpina anasaidia sana kubainisha kwa uwazi bila kuogopa kuwataja mafisadi hao
Lakini kwa upande mwingine, anahatarisha mno maisha yake!
Kundi la mafisadi ni watu wenye umoja na wako tayari kufanya chochote juu ya mtu yeyote!
Watu kama Mpina, kwa mfumo wetu ulivyo mbovu, hapaswi kuteuliwa kuwa waziri, anapaswa awe na nafasi hii hii aliyopo ili kuwakaanga mafisadi, maana akiwa upande wa serikali, hawezi kuchangia wala kuibua uozo wowote wa serikali kwa sababu yeye anakuwa mtetezi wa serikali
Linamaanisha ndumba?Yule ni msukuma..amezindikwa vizuri. Hawezi kuwaogopa hawa makajanja kina mwigulu
Watanzania wengi bado ni wajinga sana mkuuLearn;
kosa moja halihalalishi lingine, come up with evidence, aliyepora asaidiwe kwenda mahamakani otherwise u are aso timu Mwingulu! #Hamtashida!
Chifu yule wa kisukumaLinamaanisha ndumba?
Inaonekane neno "interest" limekupita juu ya ubongo wako.Sasa na nyie si mpeni ulinzi huyo sukuma gang mwenzenu,kelele za nini!
Sawa, tumekusikia. Una la kuongezea.Sawa mtaalam wa english.
Ila hata mimi sina maslahi kwa mtu mlopokaji mzushi hivyo mkitaka apewe ulinzi nendeni kaburini kwa mungu wenu.
Ni wapi CAG kwenye ripoti kamtaja mtu jina kwamba yeye ndio kahusika moja kwa moja zaidi kinachomsumbua ni chuki tu na kukosa uwaziri.
Safi sana, tema nyongo inasadia afya.Kamuulize huyo kunguni wako anayejifanya kupinga ufisadi wakati yeye na yule Marehemu wenu ndiyo mafisadi wakubwa.