Ukisikia kama Mbwai na iwe mbwai basi Tz ina watu... nani wakumpoteza kinuke maana sio kila dam inakubali mwagika... yaani ukisikia JPM alikuwa na wafia dini Mpina namba moja mwingine ako amelala ilakwanmna yeyote anamlinda kijana hapa ndio ile nadharia niguse unase. Shikamoo Mh MpinaSawa na Ongezeko la Trillion 32.4 .
View: https://www.youtube.com/live/rwIdf9x54HE?si=7DqEJdRObXwam_J4
Sasa shida Iko wapi? Amewaelezea kwamba na Uchumi umepata?Sawa na Ongezeko la Trillion 32.4 .
View: https://www.youtube.com/live/rwIdf9x54HE?si=7DqEJdRObXwam_J4
Kazi gani?Kizazi kijacho kinakazi kwelikweli!
Kwa mfano madudu gani?Duuhhh duuhh Mpina anaibua madudu mazito mazito
Kwao ina impact wanagawana tuHii trillion 32+ mbona haina impact kwenye maisha ya mtanzania, trilioni 32+ kwa tanzania ni nyingi mnoo
Tume za kuchunguza ufisadi zinaundwa nyuma ya mikamera majibu ya hizo tume nyuma ya paziaKosa la Mpina ni lipi hapo mkuu?
Miaka 4 unakopa Trilioni 33plus.
Akipewa mingine 5, deni litakua Trilioni 150.
Kizazi kijacho kitatushangaa sana tuliongozwaje na watu wa namna hii?
Mikopo inaenda kwenye pikipiki nchi nzima, samia legal aid(unajiuliza rais tena unatoa msaada wa kisheria, si ubadili sheria ama uboreshe sheria tu?)
Hiyo mikopo ndio inaenda kwenye mara samia scholarship, sasa bodi ya mikopo ipo ya nini? Inaenda kugharamia mamilioni wanayopewa kina Mwamposa(mwamposa alipaswa kua jela mwaka 2020 aliua watu Moshi na bado yuko uraiani)
Serikali haitaki kusimamia ukusanyaji kodi, inaona ikope kuliko kuhimiza kulipa kodi.
Unajiuliza miaka 5 ya Samia hakuna ufisadi mkubwa mkubwa Tanzania, watanzania wote wameokoka, mbona hakuna fisadi hata mmoja alieshitakiwa ama mafisadi wote waliokoka kipindi hiki cha Samia?
Hii nchi chini ya vegetables haiwezi kwenda mahala popote.
Wee Chawa , Hauna Bando??Kwa mfano madudu gani?
Daah kweli wee ni kajingaSasa shida Iko wapi? Amewaelezea kwamba na Uchumi umepata?
Kwani amewaambia kuna shida gani ,mbona Kuna Hawa wenye madeni makubwa umeona ni maskini? ππView attachment 3217925
Kuna shida gani ukikopa hizo hela? Mbona huulizi matumizi ya mikopo?Kosa la Mpina ni lipi hapo mkuu?
Miaka 4 unakopa Trilioni 33plus.
Akipewa mingine 5, deni litakua Trilioni 150.
Kizazi kijacho kitatushangaa sana tuliongozwaje na watu wa namna hii?
Mikopo inaenda kwenye pikipiki nchi nzima, samia legal aid(unajiuliza rais tena unatoa msaada wa kisheria, si ubadili sheria ama uboreshe sheria tu?)
Hiyo mikopo ndio inaenda kwenye mara samia scholarship, sasa bodi ya mikopo ipo ya nini? Inaenda kugharamia mamilioni wanayopewa kina Mwamposa(mwamposa alipaswa kua jela mwaka 2020 aliua watu Moshi na bado yuko uraiani)
Serikali haitaki kusimamia ukusanyaji kodi, inaona ikope kuliko kuhimiza kulipa kodi.
Unajiuliza miaka 5 ya Samia hakuna ufisadi mkubwa mkubwa Tanzania, watanzania wote wameokoka, mbona hakuna fisadi hata mmoja alieshitakiwa ama mafisadi wote waliokoka kipindi hiki cha Samia?
Hii nchi chini ya vegetables haiwezi kwenda mahala popote.
Jibu swali,madudu gani hayo ambayo wewe na Mpina mnayajua?Wee Chawa , Hauna Bando??
Ujinga gani? Narudia kukuuliza amewaeleza kwamba na Uchumi umepaa?Daah kweli wee ni kajinga
The bodyguard hiyo ningeshangaa nisingeiona kwenye Uzi.Wee Chawa , Hauna Bando??
ni kwa ajili ya kununulia ma vieit na kujaziana posho mifukoni tu.Hii trillion 32+ mbona haina impact kwenye maisha ya mtanzania, trilioni 32+ kwa tanzania ni nyingi mnoo
ma mbegesiUnakuta madeni ya zenji nayo tunalipa sisi watanganyika!