Kwenye siasa ndiyo mlango wao wa kupitiaKwenze vyama vya siasa ndo pakuanzia huko ndo wahamiaji haramu,vibaka na mafya wapo huko, wanaanzia maeneo ya mipakani mfano unakuta mtu ni mjaluo eti kapewa uenyekiti wa kijiji..halafu tuje serikalini..Kadri miaka inavosonga tutashindwa kulidhibit maana wewe mwenyewe unaenda kufanya hyo operation nawewe unajikuta ni muhamiaji kwahyo inakuwa haina uzito..
Hakuna mwenye uwezo wa kumjibuMtu anapozungumza anatakiwa kujibiwa kwa hoja
CDF alipuyanga na Mpina nae mpenda sifa za kijinga za watu wajinga nae anarudia yale yale. Okoa nguvu na muda wataje. Kuverify uraia wa mtu ni kazi rahisi sana sijui huu ujinga mitanganyika utawaisha lini.
Mtu kuwa na asili ya nje hakumfanyi kuwa less of a citizen. Trump kamfanya mhindi mmarekani kuwa director of FBI, Musk mzaliwa wa South Africa kuwa head of Doge nk. Kwa nchi yenye watu wengi wajinga kama TZ wangeongea hadi wakauke mate. Ujinga ni utamaduni bonga
Kuruhusu baadhi ya wageni ni hatari kwa usalama wa nchi mfano watusi loyal kwa kagame na kuna watusi wengi Tanzania.ila mtusi au mtu yoyote kuwa mtanzania haina shida na wapo wengi tu.CDF alipuyanga na Mpina nae mpenda sifa za kijinga za watu wajinga nae anarudia yale yale. Okoa nguvu na muda wataje. Kuverify uraia wa mtu ni kazi rahisi sana sijui huu ujinga mitanganyika utawaisha lini.
Mtu kuwa na asili ya nje hakumfanyi kuwa less of a citizen. Trump kamfanya mhindi mmarekani kuwa director of FBI, Musk mzaliwa wa South Africa kuwa head of Doge nk. Kwa nchi yenye watu wengi wajinga kama TZ wangeongea hadi wakauke mate. Ujinga ni utamaduni bongo.
Kwenye vyama vya siasa hawatakubali maana kule kwenye chama chao huenda ndo wamejaa sana๐ ๐ ๐Kwenze vyama vya siasa ndo pakuanzia huko ndo wahamiaji haramu,vibaka na mafya wapo huko, wanaanzia maeneo ya mipakani mfano unakuta mtu ni mjaluo eti kapewa uenyekiti wa kijiji..halafu tuje serikalini..Kadri miaka inavosonga tutashindwa kulidhibit maana wewe mwenyewe unaenda kufanya hyo operation nawewe unajikuta ni muhamiaji kwahyo inakuwa haina uzito..
Rudi kwenu Rwanda..mkuuCDF alipuyanga na Mpina nae mpenda sifa za kijinga za watu wajinga nae anarudia yale yale. Okoa nguvu na muda wataje. Kuverify uraia wa mtu ni kazi rahisi sana sijui huu ujinga mitanganyika utawaisha lini.
Mtu kuwa na asili ya nje hakumfanyi kuwa less of a citizen. Trump kamfanya mhindi mmarekani kuwa director of FBI, Musk mzaliwa wa South Africa kuwa head of Doge nk. Kwa nchi yenye watu wengi wajinga kama TZ wangeongea hadi wakauke mate. Ujinga ni utamaduni bongo.
Hahahah.......hata humu wamo wengiRudi kwenu Rwanda..mkuu
Mkuu wangu weee hawa siyo, hawa ni Watanganyika kabisaaa.C
Hapo Umewataja
0. Marehemu jiwe
1. Bwana kuoga pale byotii
2. Bi chakoNiChako
3. Bwana kigoma
What matters is your loyalty and abiding with constitution procedures. FBI director's parents live in India, they are Indians. Yet, their son pleads loyal to American values and citizenship. These Tutsi, abide with Kigali.
Check what happened last month in Uganda. They want to start the same thing M23 are doing in Congo.
Regardless, all non-citizens should be both removed from power and evacuated from our country.
asikilizwe huenda akawa na hoja chamsingi awe analeta ushahidi..kichaa sio wakuuliwa anaweza kuongea maneno zaidi ya mia halafu mawili ukiyazingatia yakawa na maana napia yakakukomboa wewe ulieacha muda wako ukamsikiliza yeye, kwahyo tusiwawauwe vichaa kwani ni sehem yao ya kufikisha ujumbe.Inatakiwa azimwe ni kirusi kwa usalama wa taifa
Mkuu hata kama unanufaika sasa hivi kumbuka kuwa utakufa na kitabaki kizazi chakoMpina ni wa kupigwa pini haraka vinginevyo akichekewa ataleta shida kwenye amani ya nchi hii. Vyombo vinavyohusika vimshughulikie.
Let me share this fact with you. Not only Tutsis, every foreigner coming in Tanganyika especially from geographically neighbours is on the loot.A fallacy of generalization rendered your entire argument illogical. Worse enough you can't substantiate any of your claim empirically, that each and every Tutsi in Tanzania has an allegiance to Rwanda.
You can't substantiate that.
Nitolee upumbavu wako hapa.Mtu anapozungumza anatakiwa kujibiwa kwa hoja
Wewe ni miongoni mwa watu wapumbavu sana kuwahi kuwepo nchini Tanzania.
Nchi yako uliyojenga ni dhaifu sana kama mnaogopa mtu mmoja anaweza kui bring down kwa matamko!
Matamko kuhusu raia, ambayo CDF nae aliyasema.
"Wamshughulikie" ni lugha ya watu primitive.... mataifa ya watu-nyani ndio wanaambiana "wamshughulikie" mwenzao.
Wameteua watu bila competent vetting, bila kujua background zao,hilo sio kosa la Mpina.
Mjinga ni wewe usiyeelewa maana ya katiba bora. Unadhani uchawa ndiyo njia bora ya kuishi? Na kizazi chako kitaishi kwa kutegemea uchawa siku ukifa, au huelewi kwamba kukiwa na katiba bora ndiyo itawasaidia na wao waje kuishi maisha bora baada wewe chawa mbobezi kufa?Ujinga at its best,hicho kinachoitwa Katiba Mpya ndio kitakusaidia nini?
Uchawa ndio nini? ๐ฎ๐ฎMjinga ni wewe usiyeelewa maana ya katiba bora. Unadhani uchawa ndiyo njia bora ya kuishi? Na kizazi chako kitaishi kwa kutegemea uchawa siku ukifa, au huelewi kwamba kukiwa na katiba bora ndiyo itawasaidia na wao waje kuishi maisha bora baada wewe chawa mbobezi kufa?
Let me share this fact with you. Not only Tutsis, every foreigner coming in Tanganyika especially from geographically neighbours is on the loot.
We have had Tutsis in political parties, in our borders and in deed in top decision making positions who undermine our country refer TPDF commander statement. I strong believe you don't have intelligence privileges than our own commander.
In this age of information you don't understand how Tanzania is looted and plundered by foreigners? Are you really in the country?So now it's not only the Tutsis, but every foreigner. More accusations, zero facts ๐๐๐
Skedaddle dude, you're wasting my time.