Luhaga Mpina, mmoja wa Wana CCM waliochukizwa Samia kuwa Rais, awaita Mawaziri awamu ya 6 matapeli

Luhaga Mpina, mmoja wa Wana CCM waliochukizwa Samia kuwa Rais, awaita Mawaziri awamu ya 6 matapeli

Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina,
Wale inzi wa awamu ya sita kumbe wameanza kazi? Haya endeleeni kuraruana.
 
frankly speaking hata mimi huyu rais naanza kua kama simuelewi elewi hivi, kama anatupeleka chaka vile.
 
Mpina anatetea wananchi kukaangwa na tozo, JM yuko upande wa wananchi. Atafute hoja nyingine, hii imebuma. We stand with the minister at least this time
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina,
Kama hiki ulichoandika ni kweli, basi hata kile kinachosemwa huku Kijijini Rubambangwe, Wilayani Chato kwamba SIMBA WA YUDA alianza kuugua hadi umauti kumkuta baada ya kukutana na msaidizi wake namba moja ambaye Leo yuko "OFISINI" ni KWELI!
 
Kama hiki ulichoandika ni kweli, basi hata kile kinachosemwa huku Kijijini Rubambangwe, Wilayani Chato kwamba SIMBA WA YUDA alianza kuugua hadi umauti kumkuta baada ya kukutana na msaidizi wake namba moja ambaye Leo yuko "OFISINI" ni KWELI!
Huyo alikuwa mgonjwa muda mrefu sana
 
Tujifunze kukubaliana na mawazo ya wengine hiyo ndio Demikrasia.

Haiwezekani Nchi nzima tukawaza na kupenda jambo moja.

Lazima tofauti iwepo.

Sasa nyie watoto wa mjini mnashangaza sana mnapoogopa kukosolewa na kukimbilia kudai eti mnachukiwa.
 
Wewe ni mpumbavu jibuni hoja kuhusu ujenzi wa bwawa la umeme sio kila kitu swala la kuonewa wivu makamba na mama yake.
 
Luhaga anatukana chama na serikali hadharani, ashughulikiwe
Mnataka yarudi yale yale mliokuwa mnayalaani kila siku ??!! Mbona wepesi kusahau ? !! Kwahiyo sasa waanze kushughulikiwa kama walivyokuwa wakishughulikiwa wakati wa Mwamba ??!! Salaaaleeh !! Kweli kuishi kwingi kuona mengi !!
 
Steve atauliza,
Alishinda?
Nimemsikia vyema Mh.tukiacha ushabiki wa kisiasa hoja zake hata kama anaajenda tusio ijua Mh. Hoja yake ni ya watanzania
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina,
Huyu mtu ana chuki Sana na Samia na kajigeuza ndio msemaji wa sukuma gang..

Amekuwa akimeshambulia Waziri Makamba kwa tuhuma lukuki za kutunga..

Hivi ina make sense kwamba Makamba ahujumu mradi wenye maslahi ya Nchi kweli? Kwamba Serikali inamuogopa Makamba au?

Unashindwa kuelewa malengo yake huyu bwana ni nini hasa,mh.Rais Huyu ni WA kunyamazishwa,ni mpuuzi fulani tuu..

Spika ulimnyamazisha kenge kama huyu usimchekee.
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina,
So mmeruhusu uhuru wa kutoa maoni au mie sielewi! Kwani Tz tuna rais kweli? Kwa mambo yanayoendelea duh, R.I.P Magufuli!
 
Back
Top Bottom