Luhaga Mpina, mmoja wa Wana CCM waliochukizwa Samia kuwa Rais, awaita Mawaziri awamu ya 6 matapeli

Luhaga Mpina, mmoja wa Wana CCM waliochukizwa Samia kuwa Rais, awaita Mawaziri awamu ya 6 matapeli

Huyu mtu ana chuki Sana na Samia na kajigeuza ndio msemaji wa sukuma gang..

Amekuwa akimeshambulia Waziri Makamba kwa tuhuma lukuki za kutunga..

Hivi ina make sense kwamba Makamba ahujumu mradi wenye maslahi ya Nchi kweli? Kwamba Serikali inamuogopa Makamba au?

Unashindwa kuelewa malengo yake huyu bwana ni nini hasa,mh.Rais Huyu ni WA kunyamazishwa,ni mpuuzi fulani tuu..

Spika ulimnyamazisha kenge kama huyu usimchekee.
Haya nyamazisheni watz wote! Tunakoelekea watu wataona haya kujihusisha na fisiemu!
Maana CCM iliyokumbatia watz wote inapotea kwa Kasi sana! Na fisiemu kwa Sasa ndio muelekeo!
 
Mpina analeta siasa kwenye mambo ya kiufundi, Hivi anajua time frame ya SGR project!!? Mpaka JPM anafariki tulikuwa nje ya muda ambao ulipangwa awali je alihojia!?! Waziri makamba ni mtu smart sana na sababu za bwawa kuchelewa kukamilika zimeshaelezwa waziwazi, Inshu ya umeme kukatika pia liko open kabisa
Lakini kama Nchi tunakoelekea ni pazuri sana hata haya mambo ya kukatika umeme yatabaki historia kama anaona Uchungu kalemani kutoka wizarani kwa vile kuna deals kibao walifanya basi atambue wakati wao umepita.
 
Mpina analeta siasa kwenye mambo ya kiufundi, Hivi anajua time frame ya SGR project!!? Mpaka JPM anafariki tulikuwa nje ya muda ambao ulipangwa awali je alihojia!?! Waziri makamba ni mtu smart sana na sababu za bwawa kuchelewa kukamilika zimeshaelezwa waziwazi, Inshu ya umeme kukatika pia liko open kabisa
Lakini kama Nchi tunakoelekea ni pazuri sana hata haya mambo ya kukatika umeme yatabaki historia kama anaona Uchungu kalemani kutoka wizarani kwa vile kuna deals kibao walifanya basi atambue wakati wao umepita.
Mimi nipo mbali huko sioni! Bado winchi haijapatikana?
 
Luhaga anatukana chama na serikali hadharani, ashughulikiwe

Hawezi kushughulikiwa kwa anachotamka akiwa bungeni. Labda mumchape zile vitu zina ncha kali!! Hawezi kukamatwa na kushitakiwa.
 
Stupid. Eti wananchi waliomchagua waliomtuma, huo uchaguzi ulifanyika lini? Mpina uko bungeni kwa kimemo Wala hujachaguliwa na wananchi.
Kwanini unataja umeme tu mbona hutaji wizara zinazoongozwa na wasukuma Kama mitugo?
Kwendra huko tuacheni tupumue
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina.
Wote hao anti Samia, watakufa na kihoro chao.
Mwendazake ndo hayupo.
 
Haya nyamazisheni watz wote! Tunakoelekea watu wataona haya kujihusisha na fisiemu!
Maana CCM iliyokumbatia watz wote inapotea kwa Kasi sana! Na fisiemu kwa Sasa ndio muelekeo!
Tunawanyamazisha mapunguani na wapumbavu kama huyu Mpina.
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina.
Kwa kweli huyu Mama mwanzoni nilimuona kuwa ni mtu mwenye kuona mbali kumbe alitupotosha tu. Anaboronga kila uchwao kutokana na kujiunga na kina Kikwete na wengineo waharibifu wa nchi hii, na ndiyo maana walimrudisha Membe makusudi wazidi kuharibu zaidi.
 
Du kuna watu wanagubu, kitendo cha mbunge kutoa maoni yake ambayo ndio kazi yake kama mmbunge, tayari ameitwa mpinga Rais.

Nilitegemea ungeweka mada tofauti inayohusu kuhusika kwake kumpinga Rais kuapishwa. Na hii ya maoni yake kuhusu ushauri wa makamba "mhujumu uchumi" bundling the two unaonesha unachuki nae Mpina hata kama hoja zako zina mashiko.

Kwenye uandishi wa hoja za kushambulia objectivity ndio itafanya hoja zako zionekane zinamashiko na sio aina ya ushambuliaji.
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina.
Ulikuwepo au [emoji92] kama kawaida yenu wapika Sumu wa Mbowe?
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina.
Mama amekusikia weka CV yako sasa upumzike.
 
Back
Top Bottom