Pre GE2025 Luhaga Mpina: Nchi sita za Afrika zilizopindua Serikali zao zilikuwa sahihi

Pre GE2025 Luhaga Mpina: Nchi sita za Afrika zilizopindua Serikali zao zilikuwa sahihi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi Imhotep siungi mkono Mapinduzi ya Kijeshi ila naunga mkono maandamano na migomo Nchi nzima kama njia ya kufikisha ujumbe wetu.
 
Mimi nimwelewa tofauti!

Kwasasa Tanzania haitofautiani na serikali zilizopinduliwa hapa Africa!

Nadhani ni kama anamwambia Mabeyo was Sasa afanye kama kina mabeyo wengine kwenye nchi hizo na ikitokea tusifungiwe huko UN!!

Nadhani Mabeyo wa Sasa atakua amemwelewa!na soon tutaona Ile hashtag ya "Mabaka wametawala"IPO njiani!!

Huyu Mpina huyu je ni kinywa Cha wenye Dola yao!!?

Naendelea kusubiri huku Bandarini kumenoga!!!
 
Mimi nimwelewa tofauti!

Kwasasa Tanzania haitofautiani na serikali zilizopinduliwa hapa Africa!

Nadhani ni kama anamwambia Mabeyo was Sasa afanye kama kina mabeyo wengine kwenye nchi hizo na ikitokea tusifungiwe huko UN!!

Nadhani Mabeyo wa Sasa atakua amemwelewa!na soon tutaona Ile hashtag ya "Mabaka wametawala"IPO njiani!!

Huyu Mpina huyu je ni kinywa Cha wenye Dola yao!!?

Naendelea kusubiri huku Bandarini kumenoga!!!
Ujumbe unapelekwa Kwa Kila njia.

Mfumuko wa Bei utakaokuja kutokana na Bei za bandarini kuongezeka kutaleta kelele yenye mshindi mkubwa,

Tusubiri.
 
Salaam, Shalom!!

Akiongea kupitia press aliyoitisha nje ya Bunge amedai kuwa UMOJA wa Afrika haupasi kuzisimamisha uanachama Nchi SITA zilizopindua Serikali zao Kwa sababu Watawala waliopinduliwa hawakujali sauti na matakwa ya wananchi.

Amedai kuwa RUSHWA ikitamalaki, ukiukwaji wa HAKI za binadamu ukiota mizizi, Wizi wa kura ukitamalaki, wizi wa Raslimali za umma ukitamalaki, dhuluma ikizidi katika JAMII, hakuna njia ingine wananchi wanaweza kufanya zaidi ya kupindua Serikali zao Kwa njia mbalimbali.

Ndugu Mpina ameitaka Serikali ya Rais Samia Kutoa tamko kushauri Nchi hizo zisizuiliwe uanachama katika ushirika wa AU.

Chanzo: Uhondo Tv.

Mungu ambariki na kumlinda ndugu Mpina,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

HAKI ikatawale katika Taifa. Amen

Karibuni 🙏
Serikali ya rais Samia hii hii iliyopoka haki za wanachi kuchagua viongozi wao mwaka 2019 na 2020?
 
Ujumbe unapelekwa Kwa Kila njia.

Mfumuko wa Bei utakaokuja kutokana na Bei za bandarini kuongezeka kutaleta kelele yenye mshindi mkubwa,

Tusubiri.
Bahati mbaya Mystic aliona eti "kichwa kilichojeruhiwa kikakimbia na kupata hifadhi nje ya nchi,eti mabaka yakabeba Chao"na maamuzi yakawa yanafanyika sirini bila Binge Wala mawaziri,yaani eti!!!?sidhani kama Mystic atatuhuzunisha kama nabii Musa!!!

Ngoja niamini unabii was mystic namuona Mpina akitimiza unabii live polepole!!!
 
Tanzania tunahitaji mapinduzi dhidi ya ccm(chama Cha majambazi)
 
Wanajeshi wakwetu naona wapo kimya tu sjui wanasubilia nini,nchi hii inanuka rushwa sana kila mahali matumizi ya nguvu ya baadhi ya vyombo dhidi ya Raia..kwakweli nashangaa kuona sisi ni masikini sana wakati tuna kila rasilimali ya kutupatia utajiri.
Ukisikia mtu anasema “Tanganyika/Tanzania ni kiti na machine ya propaganda na Siasa Afrika unaelewa nini?

Mfumo mzima wa nchi na watu wake umejengwa kwenye Siasa na Propaganda.

Sera na utekelezaji wake uko kwenye misingi ya Siasa na Propaganda.

Uchumi wa nchi mpaka wa Mwananchi mmoja mmoja umeelemea kwenye Siasa na propaganda.


Sometimes, one may wonder if this reality we are in, is really Real or just Polifixes and Propagandas!
 
Amedai kuwa RUSHWA ikitamalaki, ukiukwaji wa HAKI za binadamu ukiota mizizi, Wizi wa kura ukitamalaki, wizi wa Raslimali za umma ukitamalaki, dhuluma ikizidi katika JAMII, hakuna njia ingine wananchi wanaweza kufanya zaidi ya kupindua Serikali zao Kwa njia mbalimbali.

Ndugu Mpina ameitaka Serikali ya Rais Samia Kutoa tamko kushauri Nchi hizo zisizuiliwe uanachama katika ushirika wa AU.
Nakubaliana na Mpina moja kwa moja.
Kumpindua mtu kama Omar Bongo kule Gabon, nalo liwe kosa?
 
Back
Top Bottom