Luhaga Mpina, songa mbele, kichwa chako umekijaza maarifa na akili kubwa, elimu yako unaitendea haki. Wapuuze hao wabunge vilaza

Luhaga Mpina, songa mbele, kichwa chako umekijaza maarifa na akili kubwa, elimu yako unaitendea haki. Wapuuze hao wabunge vilaza

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Niliwahi andika humu, kua Dunia nzima utazunguka lakini Tanzania pekee ndio Utakutana na Bunge lenye wabunge wajinga wajinga Kwa kiwango kikubwa.

Wabunge wa Tanzania, Kwa ukilaza wao, Uwezo Mdogo wa akili, kushindwa kufatilia masuala nyeti, wamejikuta wanamshangaa tu Mpina.

Mbunge hajui hata Mpina anaongelea nini, hajui, hajui, kwakua sio wasomaji, sio wafatiliaji, wamebaki kua wabunge wa Kupiga makofi pasa paaa paaaaa.

Unajiuliza, Hivi hata hao wabunge wenye tuelimu nao ,ni vilaza namna hii?Yaan kwann mbunge unayejiona Msomi, Unashindwa kua Mdadidisi na kuacha akili yako ifanye kazi?

Hili likanirejesha kwenye Mfumo wetu wa Elimu, Elimu inayozalisha watu Kwa Vyeti, ila huyohuyo MTU Kwa miaka yote mitatu au zaidi ya Kua chuo kikuu, hawez hata kuweka katika vitendo kile alichokisomea, wao wanasema 'nitajua mbele Kwa mbele'🤣.

Hilo ndio Bunge ambalo ndio Kuna kamati mbali mbali, ndio Bunge la sheria na kanuni mbalimbali.

Sisemi kwamba ni Bunge lote, la hasha, Kuna wanawake na wanaume wabunge ambao kweli unaona Wanatendea haki Elimu zao na kama hawana Elimu unaona kabisa kweli wamejazwa na Hekima na Busara.

Hilo ndio Bunge la Tanzania, ambalo Ndani yake Kuna Mashoga, Kuna wasagaji kama ambavyo na wao waliona waanze kupimana.

Mh Luhaga Mpina, Wee chapa Kazi, Habari za uwaziri Sijui nn wewe usizingatie, Chapa kazi Mkuu, Chapa Kazi, endelea kuweka wazi madudu, Unaweza ukachukiwa na Bunge Zima, ila wee usijali, chapa Kazi, sio lazima ufanane na wajinga, wajinga na wanakawaida ya kutaka mfanane, yaan wote muonekane wajinga wajinga, weeee chapa Kazi Mkuu, chapa Kazi haswaaa.

Kuhusu Majibu ya Waziri alokupa, Achana naye, Mpuuze, Watu wa Pwani hawajawahi kua na Akili, huwa ni waswahili Swahili na Maneno Maneno, mpuuuze, sisi wanaume wa Kanda ya ziwa, sifa yetu ni kujiamini, Akili na uthubutu.

Hivo Mimi Carlos The Jackal, Daktari Daraja la Pili, Kijana wa Kitanzania, Niliyepata Ufaulu Division One kidato Cha Nne, na Division One ya PCB kidato Cha Sita na Niliyepata Overall GPA ya 3.8 Chuo kikuu

Ninaku support, ukisapotiwa na Watanzania wa Aina yetu, huo ni mtaji, Sisi ndio Dunia inatutegemea Kwa siku zijazo, Wapuuze hao vichwa Panzi.

1676873676199.jpg
 
Hahahahaha ccm bhana kama comedy show. Waliingizwa bungeni kwa mlango wa nyuma leo wanaonekana hawajui kitu? Haya ni matokeo ya kupuuza hisia na maoni ya wananchi.

Ikaonekana ili watu waufyate basi warudishwe wa chama kimoja. 87% haikuwa haba haya ndiyo matokeo yake
 
Mnaomshambikia Mpina sijui mnaona Nini!! Leo wamemshushua kwamba alipokua waziri alifanya Nini? Maana anayopigia kelele alikua kwenye kiti kwanini hakuyaweka sawa. Yaani kuanzia masuala ya ukamataji mifugo, kufanya sensa ya wanyama, masuala ya wavuvi kukamatwa hovyo. Yaani analalamika wakati naye alikua anafanya haya haya!!

Huyu ni mnafiki tu kama walivyo wabunge wengine wa CCM. Anachotafuta ni Samia amuite mezani ampe uwaziri alafu atakuja kukana haya yote anayopigia kelele.

Mfano tumeona kwa Nape, Kabudi, Polepole, na Bashiru Hawa wote walikua moto kabla ya kupewa post za serikalini. Wote tunajua walivyotugeuka mambo waliyosimamia miaka yote.

So tusiingie mkenge wa kuwaamini hawa wanafiki wa CCM. Namshukuru sana Samia kwa kumkata huyu jamaa ujumbe wa NEC kitaifa na mkoani. 2025 bye bye asahau ubunge ili ajifunze next time ukipata uongozi fanya Yale unayoyaamini ila ukiweka unafiki mpaka utumbuliwe ndio ujifanye mzalendo haiwezekani.
 
JPM alisema Luhaga Mpina ni kichaa, isaji lyenelo
 
Mnaomshambikia Mpina sijui mnaona Nini!! Leo wamemshushua kwamba alipokua waziri alifanya Nini? Maana anayopigia kelele alikua kwenye kiti kwanini hakuyaweka sawa...
Hoja iliyokutoa kimasomaso ni hiyo ya "Kupima samaki?"

Hii nchi imejaa Wajinga kila kona na kila chama
 
Hoja za Kisomi unajibu Kwa uswahili Swahili.

Mpina alisimamia sheria, Kama ambavyo JPM alisimamia sheria nyakati zote toka akiwa Waziri mpaka.

Et Waziri, anayejiita Msomi, anasema, Hoja ni kuchoma vifaranga machoni Kwa watu Kwa kua Binadam kaumbwa na huruma Mara Samaki alikaangwa !.

Kwanza inathibitisha ya kwamba, Japo sheria hizi zilitungwa akiwepo, ni wale watanzania wepesi kusahau Sanaa , na ama Sio msomaji na mfatiliaji mzuri hivo hawez fanya rejea, na pia inaonyesha Mh. Mpina Ndio kamkumbusha kwamba Kuna Sheria.

Majibu ya Ulega, ni yanafanana kisauti na ya Makamba na Nape, na zaidi yanafanan kabisa na Hangaya.

 
Hoja za Kisomi unajibu Kwa uswahili Swahili.

Mpina alisimamia sheria, Kama ambavyo JPM alisimamia sheria nyakati zote toka akiwa Waziri mpaka.

Et Waziri, anayejiita Msomi, anasema, Hoja ni kuchoma vifaranga machoni Kwa watu Kwa kua Binadam kaumbwa na huruma Mara Samaki alikaangwa !.

Kwanza inathibitisha ya kwamba, Japo sheria hizi zilitungwa akiwepo, ni wale watanzania wepesi kusahau Sanaa , na ama Sio msomaji na mfatiliaji mzuri hivo hawez fanya rejea, na pia inaonyesha Mh. Mpina Ndio kamkumbusha kwamba Kuna Sheria.

Majibu ya Ulega, ni yanafanya kisauti na ya Makamba na Nape, na zaidi yanafanan kabisa na Hangaya.


Hangaya si ndo kawazaa....like maza like sons🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mnaomshambikia Mpina sijui mnaona Nini!! Leo wamemshushua kwamba alipokua waziri alifanya Nini? Maana anayopigia kelele alikua kwenye kiti kwanini hakuyaweka sawa. Yaani kuanzia masuala ya ukamataji mifugo, kufanya sensa ya wanyama, masuala ya wavuvi kukamatwa hovyo. Yaani analalamika wakati naye alikua anafanya haya haya!!

Huyu ni mnafiki tu kama walivyo wabunge wengine wa CCM. Anachotafuta ni Samia amuite mezani ampe uwaziri alafu atakuja kukana haya yote anayopigia kelele.

Mfano tumeona kwa Nape, Kabudi, Polepole, na Bashiru Hawa wote walikua moto kabla ya kupewa post za serikalini. Wote tunajua walivyotugeuka mambo waliyosimamia miaka yote.

So tusiingie mkenge wa kuwaamini hawa wanafiki wa CCM. Namshukuru sana Samia kwa kumkata huyu jamaa ujumbe wa NEC kitaifa na mkoani. 2025 bye bye asahau ubunge ili ajifunze next time ukipata uongozi fanya Yale unayoyaamini ila ukiweka unafiki mpaka utumbuliwe ndio ujifanye mzalendo haiwezekani.
Chawa huwa Amnaga jema .mimi nilishuhudi sangara wa kilo ya chini kabisa ikiwa Na kilo 6 na kunedelea
 
Tanzania hakuna wabunge na bunge bali saccos ya ccm kujipatia pesa za kujikimu kimaisha uku wanao walipa wakiwa ni masikini wa kutupwa.
 
Hakuna alama ya ufaulu wa Shule wala ufaulu wa Somo unaoweza kuondoa Upuuzi aliomezeshwa mtu na Jamii yake ya karibu.

It Surely takes a village to raise a Child.

Huwezi kuitukana jamii yako iliyokukuza na iliyokuinua, isipokuwa, unaweza kuipuuza na kuitukana kwa ufahamu mkubwa. Hakika, na unapaswa kutarajia na unastahili kukemewa kutoka Jamii hiyo.
 
Hoja iliyokutoa kimasomaso ni hiyo ya "Kupima samaki?".

Hii nchi imejaa Wajinga kila kona na kila chama
Hapana huyo Mpina nimeshaeleza unafiki wake humu. Mfano anadai katiba mpya ilihali alipokua waziri sikuona akimshauri JPM abadili katiba.

Ametaka tulipwe trillion 300 za Makinikia, ila Cha kushangaza sikuwahi ona akiwa waziri akimtaka JPM ambaye ndio alisamehe Hilo deni, aidai pesa hiyo?

So huyu ni mnafiki tu kama hao anaowashambulia. Cha ajabu na nyie mazumbukuku mnamuita mzalendo sijui mpigania haki.

Nimesema hapa, tutarudi siku akipewa anachotaka (uwaziri) ndio mtaona rangi zake halisi. Na tutajua kati yetu nani alikua mjinga, usikimbie tu JF.
 
Hapana huyo Mpina nimeshaeleza unafiki wake humu. Mfano anadai katiba mpya ilihali alipokua waziri sikuona akimshauri JPM abadili katiba.

Ametaka tulipwe trillion 300 za Makinikia, ila Cha kushangaza sikuwahi ona akiwa waziri akimtaka JPM ambaye ndio alisamehe Hilo deni, aidai pesa hiyo?

So huyu ni mnafiki tu kama hao anaowashambulia. Cha ajabu na nyie mazumbukuku mnamuita mzalendo sijui mpigania haki.

Nimesema hapa, tutarudi siku akipewa anachotaka (uwaziri) ndio mtaona rangi zake halisi. Na tutajua kati yetu nani alikua mjinga, usijkimbie
Watu wanakuwa upande wako unapokuwa unawatetea interest zao hamna mtu anajali mambo ya historia. Ndio Maana Mbowe na timu yake walikuwa upande wa Lowassa 2015, Wabunge walikuwa upande wa JPM hadi 2020 wakapiga U- turn wakaenda upande wa Sa100/JK. Zitto alikuwa anapinga CCM hadi 2020 alipolishwa asali akampenda Mama yenu. Its about Interest kuanzia Rais wa US hadi Mwenyekiti wa Kijiji cha Ngerengere.
 
Back
Top Bottom