Ikiwa rais hatamchukulia hatua basi tutajua kuwa na yeye ni sehemu ya ufisadi huuWaziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .
Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.
Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi
USSR
View attachment 2595078
Dharau na vijembe vimemtawala sielewi watawala hawa wanaona nini kwa limbukeni huyuAshukuru tu ana walinzi lkn anastahili kukamatwa na kupakwa Vaseline msng huyu. Lina dharau wakati hata jamii yake inajulikana ina maisha duni
Safi sana Shamba la Alli mbuzi wa Alli wakulane hamna shida.Waziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .
Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.
Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi
USSR
View attachment 2595078
Kama ni mtoto pendwa basi Serikali hii ijiuzulu kwani hakuna utawala Bora na haki.Pamoja na haya, ajabu Rais akaishia kuvunja bodi tu ya shirika la Reli, wakati inaonekana kuna uozo mkubwa zaidi unafichwa..
Mwigulu anastahili kufikishwa mahakamani kwa hizi tuhuma kama zikithibitishwa, licha ya kuhusishwa kwake na huu wizi kunakoendana nae kuonekana kuwa na mali nyingi zaidi ya kipato chake, bado yupo ofisini miguu juu akibuni tozo mpya kwa ajili yetu.
Kiongozi kama huyu ingefaa kabisa awekwe pembeni kupisha uchunguzi dhidi yake, bahati yake ni miongoni mwa watoto pendwa wa mama, awamu hii imekuwa incompetent sana.
Mpina kakomaa na Mwigulu mpaka kielewekeWaziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .
Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.
Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi
USSR
View attachment 2595078
Very Serious mate.....sio ya kunyamazia eti wamalizane kwenye vikao vya chama.This is serious allegation...
😂😂😂😂😂 Dah! We jamaa fala sana, umenifanya nicheke japo foleni ya kurudi home imenichosha.Kumtetea Mwigulu ni ngumu mno. Ni mtu aliyeshindwa kabisa ku-control hisia zake za kuutaka urais. Ni waziri mwenye kiburi kilichopitiliza ambaye mara kwa mara amekuwa akituhumiwa kuwa na utajiri wa kufuru akimiliki mabasi na timu ya mpira. Pia anatajwa kuwa miongoni mwa watu waliofaidi papuchi ya Uwoya... kwa hilo la Irene nampongeza sana kwasababu kuichakata ile mbususu ni ndoto yangu ya miaka mingi kwahiyo Mwigulu katuwakilisha wananchi wengi. Ukaguzi ufanyike hela zilizotumika hadi Mh. Nchemba kufanikiwa kuchakata mbususu ile.
Wacha wamalizane tu, hawana maana.Wakiwamaliza wapinzani wataanza wao kwa wao
"Serious allegation..."; kwani Mwigulu yeye alisemaje kuhusu mambo haya, na uhusika wa mkuu wake wa kazi!This is serious allegation...
😀 tucheke tu maana hawa majamaa ukisema uwafikirie unaweza ukakata tamaa ya maisha. Kama uliwahi kusoma makala za Mzee Mihangwa kwenye Rai na Raia Mwema basi hutashangaa Mwigulu kujichotea mihela. Kuna makala ya jinsi Marehemu Balali, Yona, Chenge, Mramba na mke wa Balali walivyojipigia mihela kwenye madini unaweza ukalia sana.😂😂😂😂😂 Dah! We jamaa fala sana, umenifanya nicheke japo foleni ya kurudi home imenichosha.
Hahahaha mbususu hileKumtetea Mwigulu ni ngumu mno. Ni mtu aliyeshindwa kabisa ku-control hisia zake za kuutaka urais. Ni waziri mwenye kiburi kilichopitiliza ambaye mara kwa mara amekuwa akituhumiwa kuwa na utajiri wa kufuru akimiliki mabasi na timu ya mpira. Pia anatajwa kuwa miongoni mwa watu waliofaidi papuchi ya Uwoya... kwa hilo la Irene nampongeza sana kwasababu kuichakata ile mbususu ni ndoto yangu ya miaka mingi kwahiyo Mwigulu katuwakilisha wananchi wengi. Ukaguzi ufanyike hela zilizotumika hadi Mh. Nchemba kufanikiwa kuchakata mbususu ile.
Prove haiwezekani awe na ngomaSiku ukifanikisha kuchakata hiyo mbususu ujiandae pia na umezaji wa tembe
papuchi ya uw..., ni ile ile au nyingine? si bora tu angeenda ohio hapo angepata iliyo nafuu?Kumtetea Mwigulu ni ngumu mno. Ni mtu aliyeshindwa kabisa ku-control hisia zake za kuutaka urais. Ni waziri mwenye kiburi kilichopitiliza ambaye mara kwa mara amekuwa akituhumiwa kuwa na utajiri wa kufuru akimiliki mabasi na timu ya mpira. Pia anatajwa kuwa miongoni mwa watu waliofaidi papuchi ya Uwoya... kwa hilo la Irene nampongeza sana kwasababu kuichakata ile mbususu ni ndoto yangu ya miaka mingi kwahiyo Mwigulu katuwakilisha wananchi wengi. Ukaguzi ufanyike hela zilizotumika hadi Mh. Nchemba kufanikiwa kuchakata mbususu ile.
NdiooooooWakiwamaliza wapinzani wataanza wao kwa wao
Kwa ujuavyo unahisi raisi tulie nae ana nguvu ya kumtoa mwigu au anauwezo wakupambana na ufisadi kama mtangulizi wake. Japo jiwe alikua na miyeyusho ila hakuruhusu upigaji wa kijinga hiviPamoja na haya, ajabu Rais akaishia kuvunja bodi tu ya shirika la Reli, wakati inaonekana kuna uozo mkubwa zaidi unafichwa..
Mwigulu anastahili kufikishwa mahakamani kwa hizi tuhuma kama zikithibitishwa, licha ya kuhusishwa kwake na huu wizi kunakoendana nae kuonekana kuwa na mali nyingi zaidi ya kipato chake, bado yupo ofisini miguu juu akibuni tozo mpya kwa ajili yetu.
Kiongozi kama huyu ingefaa kabisa awekwe pembeni kupisha uchunguzi dhidi yake, bahati yake ni miongoni mwa watoto pendwa wa mama, awamu hii imekuwa incompetent sana.